wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,128
Yaacheni hivyo hivyo ndivyo tunavyowapenda wengine hatupendi mifupa bahna alaa🤣🤣🤣🤣
Yaacheni hivyo hivyo ndivyo tunavyowapenda wengine hatupendi mifupa bahna alaa🤣🤣🤣🤣
mhh labda umebaki peke yakoYaacheni hivyo hivyo ndivyo tunavyowapenda wengine hatupendi mifupa bahna alaa🤣🤣🤣🤣
Kabisaa nakweli niko pekeyangu 🤣 🤣mhh labda umebaki peke yako
Alafu tupate wapi utamuWanawake wangetolewa tu duniani..
safiKabisaa nakweli niko pekeyangu 🤣 🤣
Unajua mapokeo yanawaponza watu wengi sana. mimi nahitaji nyama bahna, bila nyama utakulaje mifuta?safi
Curves..Hayo yote kwaajili ya nini? Wakati dunia mapito tuu
Asante kutupenda mwaegoKomenti yako haijanifurahisha
It is impossible....
Wanawake ndo wanaipendezesha dunia
Hakuna dunia bila wanawake
Napenda sana wanawake....
Vipi bado unautumia?Niliwahi vaa siku moja nilihisi pumzi zinabana na tumbo kuuma nimeuhifadhi nasikilizia
Ndio mkuuAisee,kumbe kuna madhara zaidi ya faida.
Gharama ndio ila urembo mwingine kujitesa tuUrembo ni gharama.
Wanawake wangetolewa tu duniani..
Urembo waoHayo yote kwaajili ya nini? Wakati dunia mapito tuu
Hahaha ili uwaridhishe watu au sioShemeji umeniwahi duuh.. ndo' nilikuwa napitia sinza nikajitwalie na mimi wangu niwe kama beyonce
Nilivaa nikajikuta najamba muda wote