spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
Heshima kwenu Wanajamvi.
Tumeanza kuona chama kimoja baada ya kingine kumeguka rasmi. CUF wameanza rasmi kwa CUF bara kurudi ofisini huku CUF visiwani Makitawamepigwa butwaa.
Kwa style hii hii, Naonaz bundi huyu.huyu.anatua NCCR kwa Bibi Mosore kurudi madarakani nao pia walipinga sana inshu ya kuungana bila vikao na mtu waliyeamini ni fisadi.
Najua baadhi wananuna nyuzi kama hizi kuonekana lakini ndio ukweli.
Chadema nako.lipo kundi la Dr Slaa, nakumbuka Jon Mnyiika alihoji inakuwaje Mtu asilimu leo na Lorelei apewe usheikh,
Amejifunza lini ethics za chama nk. Hili kundi limezibwa mdomo midomo na nguvu ya pesa ya ulipo popote wapo.
Ukitathmini kwa undani utaona jamaa kawasomesha namba wote, mosi waliotaka kumvua Gamba Dodoma kwa maana ya CCem, Pili vyama shiriki ya UKaWa vilivyopita nchi nzima kutangaza Jamaa ni fisadi.
Baada ya huu.mtikisiko naona CCM kimefanikiwa kukomaa na kubaki madarakani na sasa kiongozi wake mkuu anakubalika.
Chadema hali sio shwari maana mwenyekiti haitishi uchaguzi na inaonekana anakatalia madarakani mithili ya madikteta.
Mbatia nae anawakati mgumu, kabla ya uchaguzi alikuwa na wabunge wengi hasa toka kigoma.
Wote walishindwa baada ya kupoteza muda mwingi na akiwa el.
Tumeanza kuona chama kimoja baada ya kingine kumeguka rasmi. CUF wameanza rasmi kwa CUF bara kurudi ofisini huku CUF visiwani Makitawamepigwa butwaa.
Kwa style hii hii, Naonaz bundi huyu.huyu.anatua NCCR kwa Bibi Mosore kurudi madarakani nao pia walipinga sana inshu ya kuungana bila vikao na mtu waliyeamini ni fisadi.
Najua baadhi wananuna nyuzi kama hizi kuonekana lakini ndio ukweli.
Chadema nako.lipo kundi la Dr Slaa, nakumbuka Jon Mnyiika alihoji inakuwaje Mtu asilimu leo na Lorelei apewe usheikh,
Amejifunza lini ethics za chama nk. Hili kundi limezibwa mdomo midomo na nguvu ya pesa ya ulipo popote wapo.
Ukitathmini kwa undani utaona jamaa kawasomesha namba wote, mosi waliotaka kumvua Gamba Dodoma kwa maana ya CCem, Pili vyama shiriki ya UKaWa vilivyopita nchi nzima kutangaza Jamaa ni fisadi.
Baada ya huu.mtikisiko naona CCM kimefanikiwa kukomaa na kubaki madarakani na sasa kiongozi wake mkuu anakubalika.
Chadema hali sio shwari maana mwenyekiti haitishi uchaguzi na inaonekana anakatalia madarakani mithili ya madikteta.
Mbatia nae anawakati mgumu, kabla ya uchaguzi alikuwa na wabunge wengi hasa toka kigoma.
Wote walishindwa baada ya kupoteza muda mwingi na akiwa el.