Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Duuu Utafikiri haendi Toilet? Hatari jamani huyu Mchumbaaaa
Si unajua tena kwa kujipendelea hatoshi huyu bwana.Naona mzizi umesha anza kujipakulia!
Onyesha Usafiri ili ili tulinganishe.inawezekana usafiri ukamwangusha.
Si unajua tena kwa kujipendelea hatoshi huyu bwana.
Kem cheki Avatar yake ilivyobeba nondo kisha ukikutana nae
usishange mtu kiduchuuu...
Mkuu Gama Tukapime nini?hata kama anao HIV mimi niempenda tu Waswahili husema Nzii Kufia kwenye kidonda ni halali yake wachaaa nimempenda Mtoto wa kihindi huyoooooooooooooooooHapo umepata, lakini mkapime kwanza
Mkuu Ab-Titchaz Asante kwa kunikandia mimi ni mrefu fut 1.78 nina wa kilo 80 nina mwili mzuri au kwa lugha ya kiingereza Handsome boy nina miaka miaka 45 sasa huyo mwanamke hanifai kuwa mpenzi wangu?
Haswaaaaa!
Upo wakati nilikutana na binti kwenye daladala (Mwenge- Mikoroshini).Hakika nilivutika kwake kweli kweli na kulazimisha kukaa karibu nae lakini sikuweza, daladala lilishona, nikawa nimesimama mbali. Nikajipanga moyoni nifike mpaka atakaposhukia. Hapo naishis Kimara Mwisho, lakini nikajikuta nimefika Buguruni chama.
Binti aliposema "konda shusha hapo", kwa kuwa nilikuwa karibu na mlango nika "drop faster", mashalaah, aliposhuka, nikaishiwa nguvu hata ya kuendelea kumtimzama, nikamhurumia (miguu yake yote haifanyi kazi kabsaaa, anatembelea magongo). Nikageka kuvuka ng'ambo ya pili ya barabara kuchukua daladala la kunirejesha tena Ubungo huku moyoni nikimsifu "Bwana wa Majeshi" kwa uumbaji wake!....
Haswaaaaa!
Upo wakati nilikutana na binti kwenye daladala (Mwenge- Mikoroshini).Hakika nilivutika kwake kweli kweli na kulazimisha kukaa karibu nae lakini sikuweza, daladala lilishona, nikawa nimesimama mbali. Nikajipanga moyoni nifike mpaka atakaposhukia. Hapo naishis Kimara Mwisho, lakini nikajikuta nimefika Buguruni chama.
Binti aliposema "konda shusha hapo", kwa kuwa nilikuwa karibu na mlango nika "drop faster", mashalaah, aliposhuka, nikaishiwa nguvu hata ya kuendelea kumtimzama, nikamhurumia (miguu yake yote haifanyi kazi kabsaaa, anatembelea magongo). Nikageka kuvuka ng'ambo ya pili ya barabara kuchukua daladala la kunirejesha tena Ubungo huku moyoni nikimsifu "Bwana wa Majeshi" kwa uumbaji wake!....
anagombea nafasi gani?