Huyu namfuga kama pambo la ndani tu ila rafiki yangu mkubwa
ni mbwa tu ndiyo maana NGUSSA NA HOLLO ndiyo marafiki zangu hata ikitokea shida huwa wanajua rafiki yao nina shida inanisibu wanakaa karibu yangu kunifariji likitokea varangati lazima wanitetee ila paka akisikia mlio tu ni mbio ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.