Haya mawe ni madini aina gani? naomba mnisaidie kuchunguza

Ramon Abbas

JF-Expert Member
May 4, 2021
1,964
3,892
Habari jf? naomba mnisaidie kutambua kama hii ni mawe ya madini ama la?

kuna mtu kaniuliza nimeshindwa kujua
IMG_20211015_095239_683.jpg
IMG_20211015_095300_844.jpg
IMG_20211015_094833_744.jpg
 
sio madini ya chuma kweli hayo!! chukua sumaku pitisha hapo yakinasa ni chuma hiyo!!
 
Test ya chuma weka sumaku uone kama inanasa, otherwise ni vigumu kuongelea jiwe limebeba nini kwa kuangalia kwa picha

Pia inategemea we unatafuta madini gani, njia nyepesi peleka sample hizo maabara eg, GST- dom, UD- geology, SGS mwanza wakakupimie mineralization.
 
Test ya chuma weka sumaku uone kama inanasa, otherwise ni vigumu kuongelea jiwe limebeba nini kwa kuangalia kwa picha

Pia inategemea we unatafuta madini gani, njia nyepesi peleka sample hizo maabara eg, GST- dom, UD- geology, SGS mwanza wakakupimie mineralization.
Mkuu asante sana. Nimewapigia simu wataalam wa madini pale mkuyuni, nesc mintech wanasema kupima madini ni elfu 30.

Ndio ni process nazidi kufuatilia
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom