leloic
JF-Expert Member
- Apr 6, 2013
- 999
- 2,702
Mkuu izo ni kokoto tu tunazotengenezea zege hamna dini apo
Mkuu izo ni kokoto tu tunazotengenezea zege hamna dini apo
Kokoto pia ni madini mkuu na zinalipiwa kodi.Mkuu izo ni kokoto tu tunazotengenezea zege hamna dini apo
Mtafute mkali wa bangala akupigie bangala ucheck, hii ni njia nyepesi
Nje ya Jf, Nipo maeneo ambayo hakuna watu wa madini mkuu ndio maana nikaja jf nione wataalam.Mtafute mkali wa bangala akupigie bangala ucheck, hii ni njia nyepesi
Kwamba unahisi umeokota madini?Mkuu jikite kwenye mada acha maneno ya kwenye Khanga.
au unafanya kazi Mwatex?
Habari jf? naomba mnisaidie kutambua kama hii ni mawe ya madini ama la?
kuna mtu kaniuliza nimeshindwa kujua
View attachment 1974986View attachment 1974987View attachment 1974988
Hebu kuwa mtulivu kijana mdogo.Kwamba unahisi umeokota madini?
Acha ufwala kijana, toka kafanye kazi utajiri haujagi kirahisi ivo.
Kukwaba ndio nini tena Chiz wewe🤣🤣😅😅😅
tunapoelekea kuna siku tutakwaba humu jf.
Watu wengine sijui Mnakuwaga na utoto gani tu, hivi mtu akiwa na kitu kinachomtatiza hatakiwi kujiuliza hapa ili apatiwe majibu? Na kama hauna ujuzi wowote juu ya kilichoulizwa kwanini usisome na kupita kimyakimya?Kwamba unahisi umeokota madini?
Acha ufwala kijana, toka kafanye kazi utajiri haujagi kirahisi ivo.
Yanaweza kuwa sunstoneHabari jf? naomba mnisaidie kutambua kama hii ni mawe ya madini ama la?
kuna mtu kaniuliza nimeshindwa kujua
View attachment 1974986View attachment 1974987View attachment 1974988
Povu kubwa sana hili, linafaa kufungua ofisi ya udobiWatu wengine sijui Mnakuwaga na utoto gani tu, hivi mtu akiwa na kitu kinachomtatiza hatakiwi kujiuliza hapa ili apatiwe majibu? Na kama hauna ujuzi wowote juu ya kilichoulizwa kwanini usisome na kupita kimyakimya?
Kuna kundu kubwa sana la vijana waanaotaka kuifanya hii platform kuwa sehemu ya kijinga na yenye utotoutoto mwingi.
Unasema hakuna dini kwenye hilo jiwe kwa kutumia picha? Tembea uone kijana, kama hauna udhoefu wa madini (mfano dhahabu) jiwe linaweza kupondwa hivyo ukalichunguza kwa macho (chabo )na bado usiione dhahabu ilhali imo ya kutosha tu. Tatizo watu mkitaina madini yakiwa yanang'aa (tayari processed) mnadhani yanachimbwa hivyohivyo.
NB;Acheni utoto , mtu ana haki ya kuuliza na kupewa majibu.
Siku hizi sijui watoto mmekuja kuwaje, haya ndio madhara ya kukulia mijini tuu mmefungiwa ndani.
Hayo ni mawe tuu kama mawe mengine.
Hawa ni wale watoto wa juzi wamekulia kwenye vyoo vya kukalia.nilitegemea jibu kama hili.
Watu wengine sijui Mnakuwaga na utoto gani tu, hivi mtu akiwa na kitu kinachomtatiza hatakiwi kujiuliza hapa ili apatiwe majibu? Na kama hauna ujuzi wowote juu ya kilichoulizwa kwanini usisome na kupita kimyakimya?
Kuna kundu kubwa sana la vijana waanaotaka kuifanya hii platform kuwa sehemu ya kijinga na yenye utotoutoto mwingi.
Unasema hakuna dini kwenye hilo jiwe kwa kutumia picha? Tembea uone kijana, kama hauna udhoefu wa madini (mfano dhahabu) jiwe linaweza kupondwa hivyo ukalichunguza kwa macho (chabo )na bado usiione dhahabu ilhali imo ya kutosha tu. Tatizo watu mkitaina madini yakiwa yanang'aa (tayari processed) mnadhani yanachimbwa hivyohivyo.
NB;Acheni utoto , mtu ana haki ya kuuliza na kupewa majibu.
Mkuu edit kidogo hapo pa kuna kund* kubwa
Typing errors mkuu,vijana wanafanya watu tutype kwa jaziba sana.Mkuu edit kidogo hapo pa kuna kund* kubwa
Hii misemo si ya mtu mzima (rijali anaejitambua), hivyo nimekupuuza kwakua hatutaweza kufikia hitimisho.Povu kubwa sana hili, linafaa kufungua ofisi ya udobi