Mnunulie mpenzio uwe unadata kila siku.
Uzazi wa mpango utawork kweli?
Kwani amesema mwenzie ana hizo figure za kumfanya adate?Mnunulie mpenzio uwe unadata kila siku.
Kwani amesema mwenzie ana hizo figure za kumfanya adate?
Bora uendelee kudata kwa kuona tu. Ukifungua ndani hutaona cha maana. Kwa akina sisi tuliopata fursa ya kufunua wengi tumeishia kujilaumu tu.Wadau,me cjui nina ugonjwa gani,yani kila nkiona mdada amevaa kipedo au skin jeans afu awe na figure flani hvi nzur huwa nadata.
Usione vyaelea..........................
Kwani hua mnategemea kuona nini?Bora uendelee kudata kwa kuona tu. Ukifungua ndani hutaona cha maana. Kwa akina sisi tuliopata fursa ya kufunua wengi tumeishia kujilaumu tu.
Mambo mengi muhimu ni ule utamu wa ndani unaolingana au kuendana na mwonekano wa nje. Wengi wetu tumeishia kujilaumu kwa kupoteza muda na fedha. Tunachokiona na kuonja kwa ndani hakifanani hata kwa robo na kile cha nje.Kwani hua mnategemea kuona nini?
Well sio kila tunda linaloonekana kuiva lina utamu ndani.Mambo mengi muhimu ni ule utamu wa ndani unaolingana au kuendana na mwonekano wa nje. Wengi wetu tumeishia kujilaumu kwa kupoteza muda na fedha. Tunachokiona na kuonja kwa ndani hakifanani hata kwa robo na kile cha nje.
Well sio kila tunda linaloonekana kuiva lina utamu ndani.
Muwe mnaongeza sukari.