ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Hivi kweli shimo hili lililosababishwa kwa kuibiwa au kukosa mfuniko yanaachwa yakiwa wazi hivi hatari yake na madhara havionekani?
Zipo wapi mamlaka zinazohusika hususan Tanroads/Tarula au Halmashauri Ya Jiji?hata nyie askari wa usalama barabarani hamuwezi hata kuripoti sehemu husika?
Haya matundu nadhani yameshaleta madhara na uharibifu na pengine hata vifo kwa watumiaji wa barabara..maana shimo lina urefu wa kimo cha mtu mzima akiingia ni mpaka kifuani...sasa hii ni hatari kwa watembeao kwa miguu bodaboda hata uharibifu wa magari.
Mamlaka zichukue hatua kwa kufunika mashimo haya mfano ni hilo moja lililopo katikati ya Jiji jirani na Clock tower na kaburi moja.
Zipo wapi mamlaka zinazohusika hususan Tanroads/Tarula au Halmashauri Ya Jiji?hata nyie askari wa usalama barabarani hamuwezi hata kuripoti sehemu husika?
Haya matundu nadhani yameshaleta madhara na uharibifu na pengine hata vifo kwa watumiaji wa barabara..maana shimo lina urefu wa kimo cha mtu mzima akiingia ni mpaka kifuani...sasa hii ni hatari kwa watembeao kwa miguu bodaboda hata uharibifu wa magari.
Mamlaka zichukue hatua kwa kufunika mashimo haya mfano ni hilo moja lililopo katikati ya Jiji jirani na Clock tower na kaburi moja.