Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
dah.. klorokwini yaelekea wewe ni mzee wa mistari sana!!Cantalisia
Kuna moja ya Rejao imekuja kwangu , Dah! yaani humo rejao yuko bize anamtongoza zubeda mchuzi, katika paragraf ya pili anamwambia zubeda mchuzi kama mapenzi ni alfabet basi yeye ni capital A. Khaaaa!
akibisha nitakufowadia
Hizo verse zako nimezikubali!!
Last edited by a moderator: