Kwa hiyo umesoma PMs zangu? Please don't tell...
Usijali EMT, Zile pm hata gazeti la udaku hawana vibali vya kuchapa content zile.
ha ha ha ha, EMT, nikiuza nakuwa bilionea.
Kuna wengine hapa ni akina andanenga malenga.
Sijui kwa nini hawatungi mashairi.
Hapana sijashawishika kuuza bado.
pm ndio nini?
Mi za kwangu kama haajakurudishia ntakuletea nyingine tenza zikiwa kwenye HDZangu zilizotoka kwa klorokwini, Ndahani, EMT, Erickb52 , The Boss,
Rejao, M'Jr Nyani Ngabu na Kaunga zimepotea. kama ziko kwako naomba nifowadie.
Haahahahah hahahha hahhhaha klorokwini umenivunja mbavu lol!Cantalisia
Kuna moja ya Rejao imekuja kwangu , Dah! yaani humo rejao yuko bize anamtongoza zubeda mchuzi, katika paragraf ya pili anamwambia zubeda mchuzi kama mapenzi ni alfabet basi yeye ni capital A. Khaaaa!
akibisha nitakufowadia
naona huyu Kongosho na klorokwini wanatafuta kila njia ya kuvunja ndoa yetu!!Haahahahah hahahha hahhhaha klorokwini umenivunja mbavu lol!
Yani hilo ni gumu na siamini kbs km Rejao wangu amemtokea zubeda mchuzi,bora ungesema smile lol,
Hebu nifoadie nione!!!