wewe ni 'lost case' kwenye PM, hadi unalia? Khah!
jamani, nashangaa PM zangu zimechanganyika na za baadhi ya watu nashindwa kuwataja hapa kwa sababu za kimaslahi.
Sasa basi nimeamua kuwafowadia PM zenu kabla ya kuzidiliti, ila kusoma PM za watu ni 'hell on earth'
Pamoja sana katika PM
ya kwangu ikijua tu imefika kwa kongosho ingegeuza fasta
Miss you like crazzzzzy. mwaaaaah.
hahaaahaa kwa kongosho haueleweki aisee