Haya mapenzi jamani haya

Toosie Slide

JF-Expert Member
Dec 16, 2016
785
943
Maisha ya mapenzi ni kichaka kikubwa mno

Zamani nilikuwa najua ukiwa na pesa utapata furaha kwenye mapenzi lakini kumbe sivyo kabisa!

Mapenzi ni kichaka, mapenzi ni giza, mapenzi ni zaidi ya bahari, utaingia ukiwa na mtazamo mzuri ila ukabadilishwa

Mapenzi ni maumivu makali

Mapenzi ni furaha kubwa

Wapo matajiri wanaocheka na kulia, wapo masikini wanaocheka na kulia

Ukimpenda atakupuuza, unaempuuza anakupenda

Unaweza kupenda ukaona kasoro

Kuna kasoro zinavunja moyo zinaumiza na zinatesa mno

Mapenzi yamekua ubinafsi watu hawafikirii wengine wanajiangalia wao peke yao

Unawaumiza wengine, wanakuumiza wengine

Mapenzi mapenzi mapenzi.
Copy & paste
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom