Haya maneno.. Jelous...insecure.... Ina maana unanifuatilia

sarikoki

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
1,194
721
Sina uakika kama haya maneno yanatumika kama inavyotakiwa... kwa udadisi wangu na baada ya kusuluisha ndoa mbili tatu... nimegundua watu wengi waliokua kwenye mahusiano sanasana wanandoa wanatumia haya maneno kujikinga na madhambi wayafanyayo (cheating).
Unakuta mume anamuuliza swali la msingi kabisa mke wake badala ya kujibiwa vizuri...atakuta anaambiwa you'r so jelous..au Insecure...Unanifatilia.. basi mwanaume/mwanamke akiambiwa hivyo huyong'ongea na hata siku nyingine anaogopa kumuuliza kitu mke/mme kwa kuogopa ataonekana namnagani vipi. Inaathiri sana psychological.

Mimi kwenye ndoa yangu sikuyakaribisha haya maneno toka mwanzo na kama nataka maelezo mke wangu lazima anipe na si vinginevyo na mimi vivyo hivyo kama kuna maelezo natakiwa niyatoe lazima nitayatoa bila hasira, kinyongo wala chuki maana huo ndio wajibu wa wanandoa.
Ukisia unajibiwa kati ya hayo maneno hapo juu.... jua kuna kitu. amka na shika bango mpaka upate jibu la swali lako na si vinginevyo.
 
Sina uakika kama haya maneno yanatumika kama inavyotakiwa... kwa udadisi wangu na baada ya kusuluisha ndoa mbili tatu... nimegundua watu wengi waliokua kwenye mahusiano sanasana wanandoa wanatumia haya maneno kujikinga na madhambi wayafanyayo (cheating).
Unakuta mume anamuuliza swali la msingi kabisa mke wake badala ya kujibiwa vizuri...atakuta anaambiwa you'r so jelous..au Insecure...Unanifatilia.. basi mwanaume/mwanamke akiambiwa hivyo huyong'ongea na hata siku nyingine anaogopa kumuuliza kitu mke/mme kwa kuogopa ataonekana namnagani vipi. Inaathiri sana psychological.

Mimi kwenye ndoa yangu sikuyakaribisha haya maneno toka mwanzo na kama nataka maelezo mke wangu lazima anipe na si vinginevyo na mimi vivyo hivyo kama kuna maelezo natakiwa niyatoe lazima nitayatoa bila hasira, kinyongo wala chuki maana huo ndio wajibu wa wanandoa.
Ukisia unajibiwa kati ya hayo maneno hapo juu.... jua kuna kitu. amka na shika bango mpaka upate jibu la swali lako na si vinginevyo.

Kuna mazoea mabaya sana ya kutotumia maneno ipasavyo miongoni mwa jamii yetu.

Unakuta mtu anatumia neno 'romance' visivyo kabisa. Halafu ukimsahihisha ama anakuambia unajifanya unajua au anakuja juu na kuanza kutoa povu.

Na hasa hii hutokea sana kwenye hayo maneno ya Kizungu.
 
mimi principle yangu ni moja tu
'kama mali ni yangu nina haki ya kuwa jealousy au kuuliza chochote kile'
hata kama cha kijinga...

Asiee The Boss.. yaani mimi uzungu kwenye ndoa yangu hamna aisee... nimekuoa lazima unipe jibu la swali ninalokuuliza.. tena kwa kunyoosha maneno... hawa watu ukijifanyau naeka uzungu utaua kichaa ati.
 
Hivi ni utamaduni wa watu gani ambao mke au mume hatakiwi kumuuliza mwenzake maswali?

Ndio maana nikasema watu wanayatumia kufanyia upuuzi... wanayatumia haya maneno kama kinga... lakini hamna utamaduni eti unamuuliza mwanandoa mwenzako sawali alafu analipuka na majiu kama hayo.
 
Kweli kabisa na tena mtu akishaa mbiwa una wivu utasikia ana sema me sina wivu nilikuwa nauliza tu! Wakati ni haki yake kuwa na doubt na mienendo ambayo ana itilia shaka!

Ndio maana nikasema watu wanayatumia kufanyia upuuzi... wanayatumia haya maneno kama kinga... lakini hamna utamaduni eti unamuuliza mwanandoa mwenzako sawali alafu analipuka na majiu kama hayo.
 
Kweli kabisa na tena mtu akishaa mbiwa una wivu utasikia ana sema me sina wivu nilikuwa nauliza tu! Wakati ni haki yake kuwa na doubt na mienendo ambayo ana itilia shaka!

Mkuu nimecheka sana....... tena anaomba na msamaa... mimi sina wivu dear..sorry kama nikuudhi. Mamaeee
 
mimi principle yangu ni moja tu
'kama mali ni yangu nina haki ya kuwa jealousy au kuuliza chochote kile'
hata kama cha kijinga...

Ndio wale wale ambao wanaona mkewe ni kitu unachokimiliki na kwamba chenyewe hakina mawazo, wala mahitaji ambayo yaweza kuwa tofauti na yako kabisa!

Miwivu tu, lione kwanza ndio maana uko insecure na hujiamini!
 
Mkuu nimecheka sana....... tena anaomba na msamaa... mimi sina wivu dear..sorry kama nikuudhi. Mamaeee

Wivu is a natural human emotion. Kwa hiyo hakuna aibu kwenye kuona wivu. Ni nani asiyeona wivu?

Ni kwamba jamii tu ime-stigmatize na kufanya watu waone ni kama kitu kibaya sana wakati sio kibaya kihivyo.
 
Ndio wale wale ambao wanaona mkewe ni kitu unachokimiliki na kwamba chenyewe hakina mawazo, wala mahitaji ambayo yaweza kuwa tofauti na yako kabisa!

Miwivu tu, lione kwanza ndio maana uko insecure na hujiamini!

Kaunga hata wewe?
 
Hayo maneno kaka uliyotaja hapo juu ni kwa wale wanaopendana kwa dhati pasipo wivu hamna penzi.
Ndoa mke na mume ni wote kujiamini na palipo na kujiamini basi uaminifu upo cha msingi ni KUJIAMINI na sio kuweka "remarks" na kujiweke vitu visivyo na ukweli unaweza ukaona maziwa kumbe tui la nazi na nazi kuwa maziwa
Mkijiamini wote mtaaminiana na hadi unaoa/olewa bila shaka ulijua wht kind of life unaanza
 
Kaunga hata wewe?

Si kihivyo!
Lkn kuna watu wana kama kaugonjwa, yaani anakuwa obsessed na mtu mpaka kero. Yaani kama alivyosema the boss inakuwa kama anamiliki!

Nami nina wivu, u can ask my man anajua; lkn sio ile yakumfuatilia mtu mpaka hapumui.

Jibu langu kwa the boss ni more personal, maana akinipatia ya kuniattack huwa hanihurumii! LOL
 
Hayo maneno kaka uliyotaja hapo juu ni kwa wale wanaopendana kwa dhati pasipo wivu hamna penzi.
Ndoa mke na mume ni wote kujiamini na palipo na kujiamini basi uaminifu upo cha msingi ni KUJIAMINI na sio kuweka "remarks" na kujiweke vitu visivyo na ukweli unaweza ukaona maziwa kumbe tui la nazi na nazi kuwa maziwa
Mkijiamini wote mtaaminiana na hadi unaoa/olewa bila shaka ulijua wht kind of life unaanza

Thats true... kuna watu wachache wanayatumia kama kinga ya kuwadhoofisha wenzao ili wafanye upuuzi...... na ukiona mwenzako ameanza kukucall names ujue something is wrong. Kuna mtu alisema binadamu anamabadiiko ya mara kwa mara na hayo mabadiliko yanapotokea huwa yanaathiri sana mahusiano, watu hatulijui hili. Na ndoa ni kama living organism inaitaji maboresho na marekebisho ya mara kwa mara. Kama wanandoa hawataliona hilo basi ndoa haiwezi kudumu. Point ya kwamba nilikuamini kabla ya kukuoa hivyo sihitaji kuoji chochote baada ya kukuoa, hilo ni NO!
Narudia tena binadamu anabadilika sana katika uhai wake...lazima kukumbushana misingi tuliyojiwekea toka mwanzo.
 
Si kihivyo!
Lkn kuna watu wana kama kaugonjwa, yaani anakuwa obsessed na mtu mpaka kero. Yaani kama alivyosema the boss inakuwa kama anamiliki!

Nami nina wivu, u can ask my man anajua; lkn sio ile yakumfuatilia mtu mpaka hapumui.

Jibu langu kwa the boss ni more personal, maana akinipatia ya kuniattack huwa hanihurumii! LOL

Nimekuelewa mamaa..but kama umenielewa point yangu ni kwamba kuna baadhi ya watu wanayatumia haya maneno kuwadhoofisha wenza wao ili kufanya upuuzi.. wana "misuse". Mfano Mr wako kachelewa kurudi nyumbani.. karudi night kali unamuuliza kwa upole what happened ,,yeye analipuka ooh acha wivu wewe... jiamini bwana. mbona unanifuatilia ivyo .etc.
 
Back
Top Bottom