Msimamo wa Marekani ni mmoja, na tayari wamesha tangaza kuhamisha ubalozi wao ulipo katika mji Mkuu wa Israel, Tel Aviv hadi Jerusalem, ambapo pia makao makuu ya Israel yatahama kutoka Tel Aviv hadi Jerusalem.
Ikumbukwe amani ya Mashariki ya kati ipo rehani miaka mingi kutokana na ugomvi kati ya Israel na Palestina.
Mgogoro huo umesha sababisha hadi Mataifa makubwa dunia kuwa na blocks, wengine wakiwa upande wa Israel na wengine upande wa Palestina.
Hatua hii ya Marekani inasababisha Baraza la usalama la Umoja wa maifa " United nation security Council" kuitisha kikao Cha dharura kujadili na kutathimini tamko hilo la Marekani.
Sasa katika hatua hii, nasi binadamu tulio na utashi wa fikra, tumejikuta tuna nasa katika mgogoro huo wa Mashariki ya kati.
Wengi wakiunga mkono Israel, kwa mema au mabaya kwa sababu ya " imani" kadhalika kwa upande wa Palestina.
Pia Kuna wengine wapo upande wa Israel ila haawaungi mkono wanayo fanyiwa Palestina. (Wengi hawa ni wanaharakati)
Sasa:-
1. Tunaombeni mtusaidie sisi watu wa imani!
Maandiko yanasema atabarikiwa ataye Ibariki Israel na atalaaniwa yeye atakaye ilaani. Hilo ndilo agano la Mungu.
Pia kitabu cha Zekari 12:9! Kinasema, "Hata itakuwa hivyo nitafuta, kuangamiza Mataifa yote watakao kuja kupiga na Yerusalemu"
Kwa maneno hayo, tuna sababu ya kuungana na Israel, ili tusipingane na ahadi ya Mungu,? tuna sababu ya kuunga mkono Israel ili tukwepe laana?Tuna sababu ya kuunga Israeli ili kuwa salama?(Kama mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla?)
Pia watu wa haki za binadamu na wanaharakati wasaidiwe pia,wawe tayari kuona wengine wanaangamia kwa taifa la Israel??
Haya mambo yanahitaji tafakuri ya kiimani,kitheologia kihistoria na kibinadamu
ANGALIZO::USIWE MSEMAJI WA MWINGINE.
Ikumbukwe amani ya Mashariki ya kati ipo rehani miaka mingi kutokana na ugomvi kati ya Israel na Palestina.
Mgogoro huo umesha sababisha hadi Mataifa makubwa dunia kuwa na blocks, wengine wakiwa upande wa Israel na wengine upande wa Palestina.
Hatua hii ya Marekani inasababisha Baraza la usalama la Umoja wa maifa " United nation security Council" kuitisha kikao Cha dharura kujadili na kutathimini tamko hilo la Marekani.
Sasa katika hatua hii, nasi binadamu tulio na utashi wa fikra, tumejikuta tuna nasa katika mgogoro huo wa Mashariki ya kati.
Wengi wakiunga mkono Israel, kwa mema au mabaya kwa sababu ya " imani" kadhalika kwa upande wa Palestina.
Pia Kuna wengine wapo upande wa Israel ila haawaungi mkono wanayo fanyiwa Palestina. (Wengi hawa ni wanaharakati)
Sasa:-
1. Tunaombeni mtusaidie sisi watu wa imani!
Maandiko yanasema atabarikiwa ataye Ibariki Israel na atalaaniwa yeye atakaye ilaani. Hilo ndilo agano la Mungu.
Pia kitabu cha Zekari 12:9! Kinasema, "Hata itakuwa hivyo nitafuta, kuangamiza Mataifa yote watakao kuja kupiga na Yerusalemu"
Kwa maneno hayo, tuna sababu ya kuungana na Israel, ili tusipingane na ahadi ya Mungu,? tuna sababu ya kuunga mkono Israel ili tukwepe laana?Tuna sababu ya kuunga Israeli ili kuwa salama?(Kama mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla?)
Pia watu wa haki za binadamu na wanaharakati wasaidiwe pia,wawe tayari kuona wengine wanaangamia kwa taifa la Israel??
Haya mambo yanahitaji tafakuri ya kiimani,kitheologia kihistoria na kibinadamu
ANGALIZO::USIWE MSEMAJI WA MWINGINE.