ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,550
- 44,700
Mtu yupo huko alipo anaamka asubuhi anaanza kujifanya anakijua chama vizuri anaanza kukuchambulia team zilizopo CCM kumbe hata kikao kimoja Cha chama hajawahi kuhudhuria.
Atakusimulia kwamba CCM Kuna team Membe mara CCM sijui Kuna team Nape kumbe uzushi mtupu.
Kwa taarifa yenu CCM ni miongoni mwa vyama imara sana Africa hakiyumbishwi kama mnavyofikiria. Hakuna cha teams wala kikundi chochote kisicho rasmi chenye nguvu kuzidi nguvu ya vikao chini ya Mwenyekiti.
Kwahiyo nawasihi acheni kupoteza muda kuwaza mambo ambayo hayapo. Makundi ndani ya chama yalishazimwa yote baada ya uchaguzi kila kiongozi amerejea kwenye kazi yake wajumbe na wenyewe wamepunguzwa so hakuna tena zile za kujuana kwenye chama.
Mnaotegemea ndani ya CCM kutakuwa na kutokueleweana leteni ushahidi wenu hapa. Kama hamna ushahidi kaeni kimya acheni kutunga hadithi mkifikiri mtawagombanisha wale mabwana. Wakina Membe na kina Lowassa walishamaliza mgao wao na sasa ni zamu ya JIWE kusukuma gurudumu Mpaka 2025.
Atakusimulia kwamba CCM Kuna team Membe mara CCM sijui Kuna team Nape kumbe uzushi mtupu.
Kwa taarifa yenu CCM ni miongoni mwa vyama imara sana Africa hakiyumbishwi kama mnavyofikiria. Hakuna cha teams wala kikundi chochote kisicho rasmi chenye nguvu kuzidi nguvu ya vikao chini ya Mwenyekiti.
Kwahiyo nawasihi acheni kupoteza muda kuwaza mambo ambayo hayapo. Makundi ndani ya chama yalishazimwa yote baada ya uchaguzi kila kiongozi amerejea kwenye kazi yake wajumbe na wenyewe wamepunguzwa so hakuna tena zile za kujuana kwenye chama.
Mnaotegemea ndani ya CCM kutakuwa na kutokueleweana leteni ushahidi wenu hapa. Kama hamna ushahidi kaeni kimya acheni kutunga hadithi mkifikiri mtawagombanisha wale mabwana. Wakina Membe na kina Lowassa walishamaliza mgao wao na sasa ni zamu ya JIWE kusukuma gurudumu Mpaka 2025.