johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,445
Haya ya " fulani" katekwa na kuokotwa eneo fulani yalianza kusikika kwa uwazi katika serikali ya awamu ya 4.
Ndipo tulisikia Rais wa wanafunzi pale Muhimbili katekwa na kutupwa Mabwepande......mara Kubenea kamwagiwa tindikali.....mara mwandishi Kubanda katekwa na kung'olewa jicho nk nk.
Nimuombe Mungu wa mbinguni aturehemu waja wake tuondokane na hii hofu maana mtu akikamatwa kwa uchunguzi fulani raia wasikimbilie kusema katekwa maana inawaumiza na kuwatesa wanafamilia.
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Ndipo tulisikia Rais wa wanafunzi pale Muhimbili katekwa na kutupwa Mabwepande......mara Kubenea kamwagiwa tindikali.....mara mwandishi Kubanda katekwa na kung'olewa jicho nk nk.
Nimuombe Mungu wa mbinguni aturehemu waja wake tuondokane na hii hofu maana mtu akikamatwa kwa uchunguzi fulani raia wasikimbilie kusema katekwa maana inawaumiza na kuwatesa wanafamilia.
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!