MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Niwaulize wale mnaokesha kusifu serikali ya awamu ya 5 kua inafanya mambo makubwa sana, hivi mnaelewa kuna watu wanaumia na kuteseka kama haya makundi kwenye nchi yetu?
Vilio na machozi ya makundi ya hawa watu mtayafananisha na hayo yanafanywa?
1.Wakulima wa korosho
2.Wakulima wa Mbaazi
3.Watumishi wa umma
4.Wasiokua na ajira
5.Waliopoteza ndugu zao kwa kutekwa na kupotezwa
6.Vyama vya upinzani
7.Wafanya biashara
8.Asasi za kiraia
10.Viongozi wa dini
11.Wanafunzi vyuo vikuu
Hivi tunaelewa haya makundi yapo katika hali gani? Maumivu yao tunaweza kupima thamani yake na haya yanayofantwa na saerikali ya awamu ya 5? Kuna tatizo gani miradi ya maendeleo kuendelea kutekelezwa huku watu wakilifurahia taifa lao kuliko majonzi?
Nisiwe msemaji sana lakini muda hua shahidi mzuri wa kila jambo.
Vilio na machozi ya makundi ya hawa watu mtayafananisha na hayo yanafanywa?
1.Wakulima wa korosho
2.Wakulima wa Mbaazi
3.Watumishi wa umma
4.Wasiokua na ajira
5.Waliopoteza ndugu zao kwa kutekwa na kupotezwa
6.Vyama vya upinzani
7.Wafanya biashara
8.Asasi za kiraia
10.Viongozi wa dini
11.Wanafunzi vyuo vikuu
Hivi tunaelewa haya makundi yapo katika hali gani? Maumivu yao tunaweza kupima thamani yake na haya yanayofantwa na saerikali ya awamu ya 5? Kuna tatizo gani miradi ya maendeleo kuendelea kutekelezwa huku watu wakilifurahia taifa lao kuliko majonzi?
Nisiwe msemaji sana lakini muda hua shahidi mzuri wa kila jambo.