Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Bila kusuka na Kuvaa hereni za kuning'inia bila kusahau kurambaramba midomo nyimbo zimejaa matusi ata mvuto wa kuskiliza azina
Kuna mmja nilimsikia anasema anaona raha sana kuigiza mwanamke na kuvaa nguo za kike achilia mbali kazi kulipa ila anasikia raha. Hapo ni mbele ya kamera sasa backstage sijui hali ipoje.
 
DAZ NUNDAZ
Ferouz
Daz Mwalimu
na wengineo


WAGOSI WA KAYA (WAGOSI WA NDIMA)
Dr John
Mkoloni

FAGIO LA CHUMA CREW

wahenga ongezeeeni
Mwengine sajo
ila hawa jamaa nyimbo zao hazijawahi kuchuja...

Kamanda
Barua
Boss
nyie watu walikua wanaimba vitu vina make sense Wallah
 
Wachuja Nafaka, hawa sikuwahi kuwaelewa ni akina nani haswa maana sikujua kuwa ni GWM tu wamejibadilisha jina wakmuongeza Juma Nature au vipi, ila 'Ya leo kali' lilikuwa bonge la pini...
 
Uswahilini ndio walioimba Kosa la Marehemu.
Hakuvaa Condom watu walijua kutuimbia vitu
Tmk wanaume family.

  • - mikono juu
  • amka
  • dar mpaka moro
  • chama kubwa

Nyimbo za sir nature zote.
Hizi nyimbo zikipigwa lazima niwehuke,


Tip Top Connection
  • goma la manzese
  • basi imba

Napo nawehuka kwa sanaaaah,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Dar mpk moro ilikua Hit song
Walikuwepo na wajanja wa Arusha, DOMOKAYA
Mandojo
Watu pori
A.k.A washamba
 
NAKO 2 NAKO
Ndio zetu kuwakilishaaaaa ha...
 
View attachment 1782215
Nje nje nje ndani
popote kambi babu weka maskani...
Gangwe Mobb ft. Nasma Hamis - Wape vidonge vyao...
Huu unaweza kuwa wimbo wao nilioupenda zaidi
View attachment 1782231
CBM Crew ft. TID - My Girlfriend:
Wachuja Nafaka, hawa sikuwahi kuwaelewa ni akina nani haswa maana sikujua kuwa ni GWM tu wamejibadilisha jina wakmuongeza Juma Nature au vipi, ila 'Ya leo kali' lilikuwa bonge la pini...
View attachment 1782267
NAKO 2 NAKO
Ndio zetu kuwakilishaaaaa ha...
View attachment 1782279
Heshima kwako mkuu
 
HORSE _ Huu siwezi kusema ni wa zamani ila ni wa kwanza kangu kusikia P-Funk 'Majani' akichana. Hapa yuko na Jay Moe na Imam Abbas wa East Coast Team, wakiwakilisha wabongo wachache kwenye game waliokuwa na uwezo wa kuimba kwa kizungu. Sidhani kama ulipigwa redioni kwa sababu ya maneno mabaya katika baadhi ya mashairi yake.

 
Kosa la Marehemu

- Uswahilini Matola
 
Kulikuwa radio presenters waliupigania sana mziki wakina Mike mhagama,taji liundi, soso b,Sebastian maganga

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom