Kuna mama mmoja ananiuma sikio hapa kwamba Chiligati kwa roho mbaya ni noma sana ila uchawi sijui .
Mkuu tathmini yangu peke yangu ndio unaona nimefanya kinafiki? Kweli mapenzi mabaya
Sengerema naanza kulizengea lazima nitest zali
1.Lema, dhambi ya ujambazi inamtafuna.
2.Halima Mdee, kaacha majukumu ya ubunge kakimbilia urembo.
3. John Mnyika, Jimbo limemzidi uzito.
4. Mchungaji Petel Msigwa, huyu kajisahau anadhani yupo kanisani
4. Joseph Mbilinyi huyu ni mzigo kwa wana Mbeya..
Hawa ni baadhi ya wabunge ambao majimbo yao yatakuwa wazi
umemuacha hassan ngwilizi
Hii tathimini nimeifanya kutokana na tabia zao na maisha wanayoishi,ongezea wa kwako!
Peter serukamba--kigoma--kiburi cha uzima(ushamba)
Abdala kigoda--Handeni--ulevi lazima umtoe
Adam kigoma malima--mkuranga--kubadilisha majini,baada ya sheikh yahaya kufa amepata mganga mwingine na majini yatamtoa
John chenge--bariadi--mshtuko wa matokeo ya kuvuliwwa gamba
Anne semamba makinda--njombe-tamaa ya kuolewa
Anne kilango malecela--same--=tamaa ya kurithi mali za bwanake zitafanya watoto wa bwanake wamtoe
Augustino laytonga mrema-himo--kisukari na kale kaugojwa ketu
Ezekiel maige--msalala--kujipendekeza
Gabriel makala--mvomero--kujirusha na tamaa ya wanawake
George mkuchika--newala--roho mbaya
Hery shekifu-lushoto-anajua mwenyewe sitaki kutaja hapa
John mmomose cheyo-bariadi--tamaa na usanii
Jonh chiligati-manyoni-roho mbaya na uchawi
1.Lema, dhambi ya ujambazi inamtafuna.
2.Halima Mdee, kaacha majukumu ya ubunge kakimbilia urembo.
3. John Mnyika, Jimbo limemzidi uzito.
4. Mchungaji Petel Msigwa, huyu kajisahau anadhani yupo kanisani
4. Joseph Mbilinyi huyu ni mzigo kwa wana Mbeya..
Hawa ni baadhi ya wabunge ambao majimbo yao yatakuwa wazi
Na kwa RA huko Igunga mlisema hivyohivyo!Maji marefu anakubalika sanaa. Km ww unaona ni mzigo kwa taifa, ukweli ni kwama si mzigo kwa waliomchagua. Anafanya mambo kwenye jimbo lake kuliko hata wasomi na wasio waganga
Wabunge wengi tu wa CDM na CCM hawawezi kurudi bungeni 2015