hili jamaa ni zigo kwa taifa hili sijuagi huwa anateteaga nini
Jamani vp kuhusu Jeremia Sumari?
1.Lema, dhambi ya ujambazi inamtafuna.
2.Halima Mdee, kaacha majukumu ya ubunge kakimbilia urembo.
3. John Mnyika, Jimbo limemzidi uzito.
4. Mchungaji Petel Msigwa, huyu kajisahau anadhani yupo kanisani
4. Joseph Mbilinyi huyu ni mzigo kwa wana Mbeya.
Hawa ni baadhi ya wabunge ambao majimbo yao yatakuwa wazi
Sengerema naanza kulizengea lazima nitest zali
hili jamaa ni zigo kwa taifa hili sijuagi huwa anateteaga nini
Jamani vp kuhusu Jeremia Sumari?
Msiniwahi Bunda tafadhali, maana yule jamaa ambaye ukoma unampa usingizi masaa yote karibu ata RIPSengerema naanza kulizengea lazima nitest zali
John Komba -- Mwanakwaya mkongwe wa CCM - Mbunge ambaye ni Mzigo mzito kwa taifa1.Lema, dhambi ya ujambazi inamtafuna.
2.Halima Mdee, kaacha majukumu ya ubunge kakimbilia urembo.
3. John Mnyika, Jimbo limemzidi uzito.
4. Mchungaji Petel Msigwa, huyu kajisahau anadhani yupo kanisani
4. Joseph Mbilinyi huyu ni mzigo kwa wana Mbeya..
Hawa ni baadhi ya wabunge ambao majimbo yao yatakuwa wazi
Ina maana 2013 haimkuti???Huy hatoboi hata 2013
hii tathimini nimeifanya kutokana na tabia zao na maisha wanayoishi,ongezea wa kwako!
peter serukamba--kigoma--kiburi cha uzima(ushamba)
Abdala kigoda--Handeni--ulevi lazima umtoe
Adam kigoma malima--mkuranga--kubadilisha majini,baada ya sheikh yahaya kufa amepata mganga mwingine na majini yatamtoa
John chenge--bariadi--mshtuko wa matokeo ya kuvuliwwa gamba
Anne semamba makinda--njombe-tamaa ya kuolewa
Anne kilango malecela--same--=tamaa ya kurithi mali za bwanake zitafanya watoto wa bwanake wamtoe
augustino laytonga mrema-himo--kisukari na kale kaugojwa ketu
ezekiel maige--msalala--kujipendekeza
gabriel makala--mvomero--kujirusha na tamaa ya wanawake
george mkuchika--newala--roho mbaya
hery shekifu-lushoto-anajua mwenyewe sitaki kutaja hapa
john mmomose cheyo-bariadi--tamaa na usanii
jonh chiligati-manyoni-roho mbaya na uchawi
John Komba -- Mwanakwaya mkongwe wa CCM - Mbunge ambaye ni Mzigo mzito kwa taifa
Profesa Maji Marefu - Mganga Mkuu wa jadi - CCM - Mbunge ambaye ni Mzigo mzito kwa Taifa
......
hapo peter serukamba unamwongezea ugojwa wa moyo,halima mdee alishamwambia asahau kurudi bungeni
Hii tathmini yako umeifanya kinafiki.
Fanyeni kazi acheni umbeya na majungu...au mnatafta mabwana apa jf...kwanza apo nna wasiwasi mna njaa..