The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Ni ya mwaka gani hiyo, mimi najua ni jimbo moja tu ambalo halina upinzani la nanyamba( I stand to be corrected) kuna majimbo 2 yanataka kufanana majina.
mgombea wa ukawa alirirudishwajimbo la deo filkunjombe tuu.hakuna ukawa.
jimbo la deo filkunjombe tuu.hakuna ukawa.
Nadhani anachozungumzia Kigwangala ni UKAWA kwa maana ya umoja wote kwa pamoja wamesimamisha wagombea kwenye hayo majimbo 48. Mf Segerea, Mtwara Serengeti nk, Ila hata kama hali hiyo ipo, Sidhani kwamba yanaweza kufika majimbo 48, hainiingii akilini hata kidogo.
Kigwangala anaweweseka baada ya kupata ushindani mkubwa jimboni kwake. Tunaenda kushuhudia mgombea Urais akidondoshwa na Wananchi Jimboni kwake. Pole sana HKigwangalla.. hatuna namna tunapiga chini ccm pamoja na yeyote anayeiunga ama. kushirikiana nayo, Jiandae kisaikolojia.
BACK TANGANYIKA
Nadhani anachozungumzia Kigwangala ni UKAWA kwa maana ya umoja wote kwa pamoja wamesimamisha wagombea kwenye hayo majimbo 48. Mf Segerea, Mtwara Serengeti nk, Ila hata kama hali hiyo ipo, Sidhani kwamba yanaweza kufika majimbo 48, hainiingii akilini hata kidogo.
Kigwangala anaweweseka baada ya kupata ushindani mkubwa jimboni kwake. Tunaenda kushuhudia mgombea Urais akidondoshwa na Wananchi Jimboni kwake. Pole sana HKigwangalla.. hatuna namna tunapiga chini ccm pamoja na yeyote anayeiunga ama. kushirikiana nayo, Jiandae kisaikolojia.
BACK TANGANYIKA
Ni ya mwaka gani hiyo, mimi najua ni jimbo moja tu ambalo halina upinzani la nanyamba( I stand to be corrected) kuna majimbo 2 yanataka kufanana majina.
Wangu namnyamba wamemsimamisha Mgombea wa Chadema baada ya yule aliekubalika wa CUF kulala mitini.