Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,203
- 85,311
Sawa mkuu, binafsi nimekuelewaNiwatoe wasiwasi Ushimen na wengine. Kuna baadhi ya vipengele sijaviweka wazi kwa sababu ya privacy. Alafu sometime hii simu Kuna ndugu huwa wanaitumia. Ndo maana ile post ya kufeli kidato Cha nne imeandikwa na binti (rejea uisome vizuri).
Kama binadamu ukiona hivo lazima upate wasiwasi lkn Sina Nia mbaya.
Hata hivo sijaomba hela Kama hela nimeomba connection. Kwa lolote lile tutaandikishana kisheria na wadhamini watakuepo.
Haya basi, lete namba yako kule PM