Hahaha unakunywa kachupa ka 200mils kale ka IMAGi kadogo mbona safi!🍷to the majority one glass means a bottle.
Rafiki yangu alikua anaji control kunywa wine. anamimina kwenye glass anakunywa ikiisha anamkuta mwanae amjazie glass. Mtoto aliitwa kila baada ya nusu saa mpaka chupa inakwisha.Hahaha unakunywa kachupa ka 200mils kale ka IMAGi kadogo mbona safi!
Ni buku 4 tu kwa sasa
Anunue vi wine vidogo vile! Kama nilichokwambia hicho hata akikimaliza hamna tatizo!Rafiki yangu alikua anaji control kunywa wine. Anaamini a glass anakunywa ikiisha anamkuta mwanae amjazie glass. Mtoto aliitwa kila baada ya nusu saa mpaka chupa inakwisha.
Hapo kwenye soda ndo changamoto niliyonayo, tena hiyo hiyo pepsi, kila siku lazima ni push pepsi big 1 ya baridi sana ndio roho yangu inasuuzika.Nilikuwa mlevi wa soda (pepsi), badala ya kuhisi kiu ya maji mie nilikuwa nikihisi kiu ya soda.
Ila huu mtihani nimeufuzu, nina miezi 6 sijagusa soda nimeacha kabisa....Kuku wasio wa kienyeji na mayai yake
Hapo kwenye soda ndo changamoto niliyonayo, tena hiyo hiyo pepsi, kila siku lazima ni push pepsi big 1 ya baridi sana ndio roho yangu inasuuzika, nisipofanya hivo naskia kiu kabisa labda ninywe maji mengii ya baridi ndio kiu ya soda kidogo inaweza pungua, hii ndio wazungu wanasema "killing you soft", ulitumia njia gani kuacha?
Kwani Billionaire Mengi aliyemuoa miss Tanzania alikuwa kijana?Tangu nigundue Le Mutuz anakaribia 70, na bado anakuwa na totoz, hivi sasa nimeacha kabisa kuhofia kuzeeka hata kama haters mtasema Le Mutuz ni Mshika Pembe tu yule !!
Body size control hasa uzito na vitambi wine ni kiboko masharti na vigezo kizingatiwa.Kunywa wine glass moja kila siku
Hivi sweet wine nayo inakuwa na tatizo? Ipi Bora wine nyeupe ama nyekundu??Kunywa wine glass moja kila siku
Wine zote fresh sema red ina vibe zaidi! White wine inatoka kwenye green grapes!Hivi sweet wine nayo inakuwa na tatizo? Ipi Bora wine nyeupe ama nyekundu??