Haya maisha bhana, angalieni haya Makaburi ya Kifahari....

Jambazi

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
16,642
18,636
cdbe521e2908c4ba08170c07c76472e8--bmw-cars-grave-markers.jpg


88561893aecd29176e51d3f49dc429fe--graveyards-grave-markers.jpg
 
hao ni hardworker..hakuna jipya.

Ivan 'the Don' Mume wa Zari,walimzika na mamilioni.

Tafuta pesa ili ikuzoeee.
 
Hivi ukibuni mradi wa kujenga eneo la makaburi yenye hadhi siunaweza piga pesa kweli?
 
Hilo kaburi la kwanza kidogo niamin kuna mtu kaweka BMW juu kumbe kopo tu!!..

cheki ream, kioo na milango hilo sio real car!, a pretty artistic manipulation at hand tho!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom