Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,428
Huu ni utafiti mdogo nlioufanya kwa miaka mingi sana. wanawake wanadanganyana sana wao kwa wao pasipo hata wao kujua kuwa wanadanganyana na kusalitiana.
1. Kuna dada mmoja chuoni alikuwa ana rafiki yake anamshawishi aachane na boyfriend wake huyo dada akaachana naye kwa ujinga huo. Baada ya wiki mbili akaja kugundua rafikiye aliyemshawishi anatoka na aliyekuwa boyfriend wake.
2. Kwenye groups za kina dada wengi wanafundishana ujinga, ujeuri na umalaya ukiacha yale makundi ya watu wa dini au wenye kujielewa. Unakuta wadada wanamwaga siri zao mle ndani mpaka unaweza ogopa. Nipo kwenye group moja wakidhani ni mwanamke mwenzao lakini nliingia kwa lengo la kujifunza nini wanafanya. Kuna dada mmoja anasema ana mtoto ambaye si wa mumewe, ilitokea alichepuka mara moja na jamaa yake wa zamani akashika mimba then dada huyo akaja amsakizia mumewe hiyo mimba na sasa wana mtoto ambaye si wa mumewe.
3. Wadada wengine hujazana ujinga kuwa mume asikuendeshe, akikuzingua achana naye wanaume wapo wengi. Mmoja anadiriki kumwambia mwenzie mi ningekuwa mzuri kama wewe ngekuwa nawapanga tu huyu wa simu huyu wa saluni, huyu wa kunijazia mafuta, huyu wa.... ni mambo ya aibu sana. Wanawake muwe makini sana na makundi yenu
4. Kuna dada mmoja alikuwa anamuunganishia member mwenzie kwa bwana kuwa kuna mtu mmoja ana pesa aliona picha ya huyo member anataka wafahamiane. Akawa anamshawishi kabisa waonane nikaenda private kuwasiliana naye akiamini mimi ni mwanamke mwenzie akasema hata mimi anaweza nipatia mwanaume mwenye pesa sema alikuwa ananigogopa sababu naonekana nipo serious sana. Akasema yeye yupo kwenye magroup kama 20 hivi anafahamiana na mastar wengi sana hivyo wakitaka watu wa kampani anawapa.
Ukiangalia kuna wanawake wengi kwa sasa manyani na kusagana wanafundishana humo. Kuna muuza dildos, mgawa waume na mfundishaji style, mapishi n.k Hili kundi admins wake ni makahaba na mabinti wa shetani.
Nami nipo kwenye group lao mwaka wa pili huu nikitumia namba mbili tofaut pasipo wao kujua.
1. Kuna dada mmoja chuoni alikuwa ana rafiki yake anamshawishi aachane na boyfriend wake huyo dada akaachana naye kwa ujinga huo. Baada ya wiki mbili akaja kugundua rafikiye aliyemshawishi anatoka na aliyekuwa boyfriend wake.
2. Kwenye groups za kina dada wengi wanafundishana ujinga, ujeuri na umalaya ukiacha yale makundi ya watu wa dini au wenye kujielewa. Unakuta wadada wanamwaga siri zao mle ndani mpaka unaweza ogopa. Nipo kwenye group moja wakidhani ni mwanamke mwenzao lakini nliingia kwa lengo la kujifunza nini wanafanya. Kuna dada mmoja anasema ana mtoto ambaye si wa mumewe, ilitokea alichepuka mara moja na jamaa yake wa zamani akashika mimba then dada huyo akaja amsakizia mumewe hiyo mimba na sasa wana mtoto ambaye si wa mumewe.
3. Wadada wengine hujazana ujinga kuwa mume asikuendeshe, akikuzingua achana naye wanaume wapo wengi. Mmoja anadiriki kumwambia mwenzie mi ningekuwa mzuri kama wewe ngekuwa nawapanga tu huyu wa simu huyu wa saluni, huyu wa kunijazia mafuta, huyu wa.... ni mambo ya aibu sana. Wanawake muwe makini sana na makundi yenu
4. Kuna dada mmoja alikuwa anamuunganishia member mwenzie kwa bwana kuwa kuna mtu mmoja ana pesa aliona picha ya huyo member anataka wafahamiane. Akawa anamshawishi kabisa waonane nikaenda private kuwasiliana naye akiamini mimi ni mwanamke mwenzie akasema hata mimi anaweza nipatia mwanaume mwenye pesa sema alikuwa ananigogopa sababu naonekana nipo serious sana. Akasema yeye yupo kwenye magroup kama 20 hivi anafahamiana na mastar wengi sana hivyo wakitaka watu wa kampani anawapa.
Ukiangalia kuna wanawake wengi kwa sasa manyani na kusagana wanafundishana humo. Kuna muuza dildos, mgawa waume na mfundishaji style, mapishi n.k Hili kundi admins wake ni makahaba na mabinti wa shetani.
Nami nipo kwenye group lao mwaka wa pili huu nikitumia namba mbili tofaut pasipo wao kujua.