Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,276
- 18,348
Kudadeki we mleta mada ni bonge la shilawadu ila umetusaidia kujua yanayoendelea huko kwenye magroup ya whatsapp
Duh, kumbe ndio maana waweza shangaa mwanamke akabadilika ghafla
Ukimkuta huko mkeo ucjeMkuu nami niunganishe on hilo group, nakutumia number PM
Hebu msianze kuyapa hila magroup ya whatsapp ni machache yenye
Hivyo hiyo ni akili mbovu ya huyo mdada hakuna kingine hapo.
Kwa kuwa umeshajijengea kwamba magroup ya whatsapp ni madanguro mapya nakushauri endelea kuamini hivyo mana hata nitakavyokwambia tunavyovijadili havitaweza kubadili fikra zako.GROUP LAKO HUWA MNAJADILI NINI
Kwa kuwa umeshajijengea kwamba magroup ya whatsapp ni madanguro mapya nakushauri endelea kuamini hivyo mana hata nitakavyokwambia tunavyovijadili havitaweza kubadili fikra zako.