Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 318
- 67
Mimi najiuliza shilingi yetu ya Tanzania imekuwaje tena? Mwishoni mwa mwezi wa pili exchange rate kwa dollar ilikuwa sh1150-1170, mwishoni mwa mwezi wa tatu especially tarehe 27/03/2008 ilikuwa 1210, wiki moja baadae yaani tarehe 3/04/2008 ikawa 1165 na leo tena ni 1200. jamani fractuations kama hizi kubwa kubwa zinasababiswa na nini hasa? na hizi fractuations si kwa dollar pekee hata ktk paund. Je kuna kiini macho gani hapa? Jamani hii haitumiki kunufaisha kundi furani? mathalani mtu amenunua dolla 1000 leo kwa bei ya sh 1170 ni sawa na sh 1,170,000 baada ya wiki moja akaziuza kwa sh 1210 ni sawa na sh 1,210,000 amegain sh 40,000 ktk dollar hizo 1000 tu. Je ingekuwa dollar 1,000,000 anagain sh 40,000,000 ktk week tu.