Haya Mabango yangekuwa Tz yasingedumu hata nusu saa barabarani

Tuwaseme

JF-Expert Member
Oct 8, 2014
645
1,188
Wadau nipo mitaa fulani ya South Africa, Johannesburg nashangaa ninachokutana nacho kwa wiki sasa, nakutana na mabango makubwa ya kisasa (Banners), usiku yanawaka na taa pamoja na Mabango madogo madogo yaliyoandikwa 'Zuma Must Go'

Nikawaza mabango haya yangekuwa nchini kwetu yafuatayo yangetokea
1. Aliyeyaweka angekamatwa

2. Na yasingedumu hata Nusu saa
Nadhani wenzetu Demokrasia wako mbele kutuzidi.

3. Na ukiyaangalia vzr hayo mabango ni ya gharama sana. Yamegharamiwa na makampuni makubwa. Ingekuwa kwetu nadhani hao viongozi wa hayo makampuni wangetajwa kwenye Orodha ya Mkuu fulani

Nilikuwa kwenye daladala nikajaribu kupiga picha moja ya bango dogo, haijatoka vzr sana ila unaweza kusoma kwa mbali hilo Bango la hapo ktkt ya Barabara.

ice_2017-05-09-09-38-42-847.jpg

Prof
freedom of expression, wenzetu wako mbali sana ki-democrasia...
upload_2017-5-9_19-33-47.jpeg

upload_2017-5-9_19-35-53.jpeg

upload_2017-5-9_19-39-50.jpeg

upload_2017-5-9_19-41-56.jpeg
 
Afrika kusini Raisi hapigiwi kura na wananchi bali na Chama chake hivyo uchungu wao ni tofauti Sana na Tanzania, kila nchi na siasa zake na tamaduni zake, Hapa kwetu ukifanya hivyo unajenga chuki Kali Sana kwani hatujapitia siasa za ubaguzi kama wao
 
Back
Top Bottom