Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Baada ya kumchinja huyu mbuzi walipo pasua kichwa kwenye ubongo wametoka hawa wa dudu wa 4. Wachinjaji wanasema ni kawaida nilisikia nikadhani ni stori ila leo nimeona mwenyewe na hapo wanatembea kabisa. Je wewe ulikuwa unajua hili?
Swali linakuja wanaishi vipi? Wanapuaje wanakula nini?
Swali linakuja wanaishi vipi? Wanapuaje wanakula nini?