Haya kwa wale wanaotaka kwenda kuishi amerika na kuapata green card Uraia wa Amerika

Na vipi kuhusu nauli na bank statements
ukisha pata hiyo Bahati nasibu ya uraia nauli utajitolea wewe mwenyewe kivyako. Hawata taka Bank account yako watakacho hitaji ni vyeti vyako vya chuo ulivyo soma na Passport yako na cheti chako cha kuzaliwa kopi yake tu ukisha waonyesha wanakupa kadi yako ya Uraia wa kuingia Amerika wakati wowote unao taka kwenda utakuwa unakwenda bila ya viza kwenda na kurudi wakati wowote kwa muda wa miaka 10.
 
ukisha pata hiyo Bahati nasibu ya uraia nauli utajitolea wewe mwenyewe kivyako. Hawata taka Bank account yako watakacho hitaji ni vyeti vyako vya chuo ulivyo soma na Passport yako na cheti chako cha kuzaliwa kopi yake tu ukisha waonyesha wanakupa kadi yako ya Uraia wa kuingia Amerika wakati wowote unao taka kwenda utakuwa unakwenda bila ya viza kwenda na kurudi wakati wowote kwa muda wa miaka 10.
Daaah...so marekani ntakua naenda kama naenda Temeke tu


So chance ya kuwin ikoje (probability) na per country (Tanzania) wanapewa wangapi kikawaida?
 
Daaah...so marekani ntakua naenda kama naenda Temeke tu


So chance ya kuwin ikoje (probability) na per country (Tanzania) wanapewa wangapi kikawaida?
Ndio ukipata Green Card ya Amerika umekula kuku Mkuu utakuwa unakwenda Amerika kama vile unatoka Kariakoo kwenda Temeke. Kila mwaka watu 50.000 wanapata nafasi hiyo ya kushinda bahati nasibu ya Green Card.
 
Mimi siitaki hiyo GC nina wasaidia wabongo wachangamke na maisha ya nje wakachume nje na kuja kuleta pesa na maendeleo nyumbani.
Hivi tuseme umekuwa selected kwenye dv lottery na huna mtu unaemfahamu USA akupokee japo pesa ya kujikimu unayo inakuaje?
 
Kuna umri wa kuzunguka zunguka duniani,na kuna umri wa kutulia mahali ulipo na kupambana;sasa ushinde bahati nasibu uanze kuangaika kutafuta nauli,ufike kule nje uanze kutafuta kazi n.k kwa ushauri,kama mtu amefika 40+ kuzunguka zunguka hakuna tija pambana mahali ulipo.
 
ukisha pata hiyo Bahati nasibu ya uraia nauli utajitolea wewe mwenyewe kivyako. Hawata taka Bank account yako watakacho hitaji ni vyeti vyako vya chuo ulivyo soma na Passport yako na cheti chako cha kuzaliwa kopi yake tu ukisha waonyesha wanakupa kadi yako ya Uraia wa kuingia Amerika wakati wowote unao taka kwenda utakuwa unakwenda bila ya viza kwenda na kurudi wakati wowote kwa muda wa miaka 10.
Ila nackia unahitaji proof ya financial self sufficiency ili ukifika US usiwe tegemezi
 
Hivi tuseme umekuwa selected kwenye dv lottery na huna mtu unaemfahamu USA akupokee japo pesa ya kujikimu unayo inakuaje?
Kwanini sisi tulivyo safiri kwenda nje hatukutegemea tutawakuta watu au Wa-Tanzania wa kutupoke Hoteli zipo kibao ukiwa na pesa utafikia Hoteli baadae utakutana na Wa-Tanzania wanaoishi huko uliko kwenda kutafuta maisha.
 
Aisee hii procedures ya kujaza mkuu inapatikana kwa lugha ya kiswahili??? Manake lugha hii imekuja kwa ndege na mimi ni st kayumba type.
 
Kwanini sisi tulivyo safiri kwenda nje hatukutegemea tutawakuta watu au Wa-Tanzania wa kutupoke Hoteli zipo kibao ukiwa na pesa utafikia Hoteli baadae utakutana na Wa-Tanzania wanaoishi huko uliko kwenda kutafuta maisha.
Mkuu nime kutumia ujumbe kwa email..
 
Aisee hii procedures ya kujaza mkuu inapatikana kwa lugha ya kiswahili??? Manake lugha hii imekuja kwa ndege na mimi ni st kayumba type.
mkuu itabidi ujue hyo lugha ya malkia maana ndo inatumika kwenye interview ubalozini pia kumbuka huko marekani hawaongei kimakonde(just kidding)
 
Green Cars inakusaidia kuishi Amerika kwamuda wa miaka 10 bila ya viza ni kama kupata nusu Uraia wa Amerika kwani ukiweza kuishi amerika ukapata kazi na mshahara mzuri na unaweza kufanya kazi amerika na nyumbani ukajenga nyumba na kuwa na gari na maisha yako yakawa mazuri kwa muda mchache tu.
Ni hivi navojua Mimi ukiwa na hiyo resident permit na ukaitumia kuishi USA Kwa zaidi ya miaka 5 mfululizo bila kutoka na bila kufanya kosa unapatiwa uraia wa USA
 
aah mkuu mzizi mkavu najaribu kutuma inasema URL request was rejected why ?
kindly give me an explanation why?
 
Muwe mnasoma habari nzma jamani tuache kusoma juu huu na kuuliza maswali yasiyo na mcngi
 
Nimesikia this year wameongeza kipengele cha Candidate must has a valid passport
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom