engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Kumbe hata wakuu wa nchi wanatambuwa kuwa Jeshi letu la Polisi Tanzania ni la walarushwa
kwani haingii akilini hata mala moja pale ambapo Waziri mkuu anaona ni bora kutumia Jeshi la wananchi kuliko hawa polisi wenye kazi ya kubambikiza watu kesi na kutumika katika mambo ya kisiasa
lakini pia iliwahi kusemwa na Mkuu wa Nchi kuwa ni vyema Jeshi la wananchi likatumika katika kupambana na majangili huko mbugani
kauli hizi za wakuu wa nchi zinaonyesha ni jinsi gani walivyokuwa hawana imani na hili jeshi letu la Polisi
Jamani Jeshi la Polisi Mjilekebishe-watu wanajuwa maouvu yenu
kwani haingii akilini hata mala moja pale ambapo Waziri mkuu anaona ni bora kutumia Jeshi la wananchi kuliko hawa polisi wenye kazi ya kubambikiza watu kesi na kutumika katika mambo ya kisiasa
lakini pia iliwahi kusemwa na Mkuu wa Nchi kuwa ni vyema Jeshi la wananchi likatumika katika kupambana na majangili huko mbugani
kauli hizi za wakuu wa nchi zinaonyesha ni jinsi gani walivyokuwa hawana imani na hili jeshi letu la Polisi
Jamani Jeshi la Polisi Mjilekebishe-watu wanajuwa maouvu yenu