mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,651
- 1,236
Jamani wana JF,tumeshafuatilia sana issue ambazo zina utata likiwemo tukio zima la ajali ya muheshimiwa mbunge Muzihir,lakini bado hatujapata ukweli wake,sasa kama kuna mdau yeyote ambaye anazo picha za kaburi,au mazishi ya Balali aziweke humu JF ili aondoe utata unaojitokeza.