chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Ndio uongo wenyewe huo, ndio kudanganya kwenyewe huko..Pia CIA hushiriki kuunda vikundi vya Uasi hususani huko Uarabuni na sehemu zingine Duniani, CIA ni chombo hatari sana na hutumika kufanya biashara ya siraha za Marekani
Kudanganya, kuzuga Dunia ndio kazi kubwa ya hicho chombo