issa mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 1,477
- 1,137
Nasikia mshahara tayari..... ,mwezi ujao wa mwaka mwingine utakua mrefu.
Hongera zenu watumishi wa umma.Nasikia mshahara tayari..... ,mwezi ujao wa mwaka mwingine utakua mrefu.
Uongo siyo kazi!Mnaodaiwa,mliotoa ahadi ya zawadi ya sikuku mnaotaka kusafiri na nk mshahara ushatoka. Katoe utimize ahadi watu wafurahi
Kweli mkuu watu wataspend sana huu muda wa sikukuu.Nasikia mshahara tayari..... ,mwezi ujao wa mwaka mwingine utakua mrefu.