Mkulima mimi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2009
- 233
- 31
Anaanza na mishahara haitoshi! Kazi nzuri itv!Ebo! Kaingia makala kumbe kipindi! Ila kaongoea vema naona kapiga mahesabu ya mshahara wa mfanyakazi unatosha nauli tu! Ametoa na hesabu kabisa ila nilishindwa kumnukuu figure, kawaomba kura wafanyakazi pia polisi na usalama wa taifa bila kuwasahau wastaafu, mwisho kasema watanzania hatuhitaji mapinduzi ya kijeshi! Tarehe 31 october tufanye maamuzi magumu!