Haya hapa matokeo ya darasa la saba 2019, Wanafunzi kumi bora kitaifa watoka kanda ya ziwa

Naona NECTA nao wameamua kuunga mkono juhudi! Ngoja tusubiri na matokeo ya CSEE na ACSEE hapo mwakani (2020) tuone Kanda ya Ziwa wataingiza tena shule ngapi kumi bora.
 
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi ambako mikoa ya kanda ya ziwa imeonekana kuongoza kwa kushika nafasi zote 10 bora kwa wavulana.

Katika matokeo hayo yaliotangazwa leo Jumanne Oktoba 15, 2019 nafasi ya kwanza hadi ya 10 katika orodha ya wavulana waliofanya vizuri zimeshikwa na wanafunzi kutoka katika mikoa ya kanda ya ziwa.

Matokeo haya hapa https://results.necta.go.tz/results/2019/psle/psle.htm
Matokeo gani Haya ya kupika ili kupata kura selikali za mitaa. Mitihani ilifanyika mwezi wa 9 mbona yamewahi sana kutoka??
 
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi ambako mikoa ya kanda ya ziwa imeonekana kuongoza kwa kushika nafasi zote 10 bora kwa wavulana.

Katika matokeo hayo yaliotangazwa leo Jumanne Oktoba 15, 2019 nafasi ya kwanza hadi ya 10 katika orodha ya wavulana waliofanya vizuri zimeshikwa na wanafunzi kutoka katika mikoa ya kanda ya ziwa.

Matokeo haya hapa https://results.necta.go.tz/results/2019/psle/psle.htm
Huyo binti aliyeongoza kutoka kanda ya ziwa mbona mzee ni kama yupo kidato cha pili,au kawa bingwa wa kurudia madarasa,wengi nimewaona wazee kulinganisha na wanafunzi kutoka kanda zingine kama vile DSM
 
Huyo binti aliyeongoza kutoka kanda ya ziwa mbona mzee ni kama yupo kidato cha pili,au kawa bingwa wa kurudia madarasa,wengi nimewaona wazee kulinganisha na wanafunzi kutoka kanda zingine kama vile DSM
Wakurya wengi wanamiili mikubwa,ila ukweli dogo kaanzia hapo pre class mpaka class seven..I know her.
 
Back
Top Bottom