Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 625
- 1,251
Pamoja na mazuri mengi ambayo rais wetu anayafanya bado kuna watu wachache wanapinga,
Wapo wanaoenda mbali mpaka kusema kuwa Magufuli hakufaa kuwa rais,
Sasa kama Magufuli hakufaa kuwa rais nani tulitakiwa kumchagua awe rais wetu kwenye uchaguzi mkuu 2015?
Wapo wanaoenda mbali mpaka kusema kuwa Magufuli hakufaa kuwa rais,
Sasa kama Magufuli hakufaa kuwa rais nani tulitakiwa kumchagua awe rais wetu kwenye uchaguzi mkuu 2015?