juzi na jana watu wengi maarufu na ambao wakikohoa tu vyombo vya habari vinaandika hatimaye wanadai kuwa DR Slaa anazeeka vibaya we riz wa jk, we rost azim nyie uhai wa inji hii kweli leo Dr.Slaa huyu huyu mzee wa data na ushahidi unaowakoroga serikali mahali anapokuwa anautolea maana unatoka ndani yenu mukiuuita confidentia - siri acheni propaganda za kumchafua Dr. slaa toen hoja za kumkomboa mtanzania