nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Nilishawahi sikia juu juu kuhusu kashfa iliyomuangusha John Edwards kisiasa huko Marekani. Leo nikiwa nimewasha TV yangu huku napiga kazi nimejikuta navutiwa kusikiliza mahojiano kati ya huyu hawara Riele Hunter na Piers Morgan wa CNN; ingawa sikuweza kufuatilia mahojiano yote kwa kuwa nilikuwa nina safari haya ndio niliyoyapata:
Kwanza kabisa huyu dada ametunga kitabu kuhusu maisha yake ya kuwa mistress wa mwanasiasa huyu mahiri (John Edwards) kitabu ambacho kimeonekana kuwaudhi wamarekani wengi; kwani anasema ameandika ili mwanae alomzaa na Edwards akikua asome. Lol. Nilikuwa nafuatilia Yahoo wengi wana campaign watu wasikinunue hicho kitabu ili kumkomesha yeye na publisher wake. Na hicho kitabu ndicho kimewavutia CNN kufanya nae mahojiano
Cha kushangaza kila swali alilokuwa anaulizwa na Morgan alikuwa anakwepa kujibu kama anaona soo wakati ni ndani ya yaliyoandikwa kitabuni; mara ooh umetafsiri out of context (sijuhi kiswahili chake) ila ni kama anamwambia mtangazaji inabidi asome zaidi si ku pick mistrari fulani fulani ili aweze kuelewa alikuwa anamaanisha nini.
Kali zaidi mtangazaji anamuuliza kwa nini kwenye kitabu ametumia maneno ya kejeli na mabaya kumuelezea (describing) mke wa Edwards ambaye kwa sasa ni marehemu (amekufa kwa kansa). Akamuuliza mlishawahi kukutana au ulikuwa unamjua? Eti tulikutana mara moja tu; ila Edwards alikuwa ananisimulia kuhusu mkewe.
Morgan: Kwa nini ulikuwa unaamini unachoambiwa na Edwards wakati ni obvious hakuna mwanaume atakaye msema mkewe vizuri kwa hawara.
Hunter: Sijuhi kama nilikuwa namwamini au la
Morgan: Kwa nini ulirecord mkanda wa ngono na Edwards mkiwa Uganda? Ulikuwa wa nini?
Hunter: Sijuhi (mkanda wenyewe umeshaliki hivyo)
Morgan: Kwa nini ulikuwa hautumii dawa za kuzuia mimba na unajua Edwards alikuwa mume wa mtu
Hunters: Sijuhi
Morgan: Mke wa Edwards angekuwa hai leo ungemuomba msamaha
Hunter: Yes
Morgani: Unajisikiaje kuharibu political career ya mwanasiasa ambaye wamarekani wengi walitegemea angekuwa Rais
Hunter: Sijutii uhusiano wangu na Edwards kwani nilimfanya awe na furaha maishani
Morgani: Umeandika kuwa wewe ni mzuri kwenye sex (not sure if these were exact words) unataka kutuambia Edwards alikuchukua kwa sababu ya sex na si love.
Hunter: Jibu alilotoa halikueleweka ni kama alitaka kukana alichoandika.
Kwa ufupi the lady is insane; maana hakuna hata swali moja alojibu kwa uwazi wakati ameamua kuandika kitabu cha uchafu wake
Haya na mahawara wa Tz; hasa mnaotembea na vigogo; mwenzenu amejigundulia ujasiriamali wa kuuza siri za mahusiano yao kwa njia ya kitabu. Wanaume mtakomajeeeee!!! Wema alishaanza kuonyesha nia ya kutoa list ya alotembea nao (kama ni kweli maana nilisoam udaku).
Kwanza kabisa huyu dada ametunga kitabu kuhusu maisha yake ya kuwa mistress wa mwanasiasa huyu mahiri (John Edwards) kitabu ambacho kimeonekana kuwaudhi wamarekani wengi; kwani anasema ameandika ili mwanae alomzaa na Edwards akikua asome. Lol. Nilikuwa nafuatilia Yahoo wengi wana campaign watu wasikinunue hicho kitabu ili kumkomesha yeye na publisher wake. Na hicho kitabu ndicho kimewavutia CNN kufanya nae mahojiano
Cha kushangaza kila swali alilokuwa anaulizwa na Morgan alikuwa anakwepa kujibu kama anaona soo wakati ni ndani ya yaliyoandikwa kitabuni; mara ooh umetafsiri out of context (sijuhi kiswahili chake) ila ni kama anamwambia mtangazaji inabidi asome zaidi si ku pick mistrari fulani fulani ili aweze kuelewa alikuwa anamaanisha nini.
Kali zaidi mtangazaji anamuuliza kwa nini kwenye kitabu ametumia maneno ya kejeli na mabaya kumuelezea (describing) mke wa Edwards ambaye kwa sasa ni marehemu (amekufa kwa kansa). Akamuuliza mlishawahi kukutana au ulikuwa unamjua? Eti tulikutana mara moja tu; ila Edwards alikuwa ananisimulia kuhusu mkewe.
Morgan: Kwa nini ulikuwa unaamini unachoambiwa na Edwards wakati ni obvious hakuna mwanaume atakaye msema mkewe vizuri kwa hawara.
Hunter: Sijuhi kama nilikuwa namwamini au la
Morgan: Kwa nini ulirecord mkanda wa ngono na Edwards mkiwa Uganda? Ulikuwa wa nini?
Hunter: Sijuhi (mkanda wenyewe umeshaliki hivyo)
Morgan: Kwa nini ulikuwa hautumii dawa za kuzuia mimba na unajua Edwards alikuwa mume wa mtu
Hunters: Sijuhi
Morgan: Mke wa Edwards angekuwa hai leo ungemuomba msamaha
Hunter: Yes
Morgani: Unajisikiaje kuharibu political career ya mwanasiasa ambaye wamarekani wengi walitegemea angekuwa Rais
Hunter: Sijutii uhusiano wangu na Edwards kwani nilimfanya awe na furaha maishani
Morgani: Umeandika kuwa wewe ni mzuri kwenye sex (not sure if these were exact words) unataka kutuambia Edwards alikuchukua kwa sababu ya sex na si love.
Hunter: Jibu alilotoa halikueleweka ni kama alitaka kukana alichoandika.
Kwa ufupi the lady is insane; maana hakuna hata swali moja alojibu kwa uwazi wakati ameamua kuandika kitabu cha uchafu wake
Haya na mahawara wa Tz; hasa mnaotembea na vigogo; mwenzenu amejigundulia ujasiriamali wa kuuza siri za mahusiano yao kwa njia ya kitabu. Wanaume mtakomajeeeee!!! Wema alishaanza kuonyesha nia ya kutoa list ya alotembea nao (kama ni kweli maana nilisoam udaku).