Hawakutaka kurudia makosa ya Ulimboka

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,750
Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!

Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde

Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile

-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari

-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani

Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
 
Kwa nanii c mawasiliano c yalifanyika, japo wanabana kuyaweka wazi, ila yote ni ovyoo ukitaka kumfuatilia mtu, ni kutumia njia za kimafia tuu ila uwe na akili nying za kutoacha nyayo nyuma
 
Kwa nanii c mawasiliano c yalifanyika, japo wanabana kuyaweka wazi, ila yote ni ovyoo ukitaka kumfuatilia mtu, ni kutumia njia za kimafia tuu ila uwe na akili nying za kutoacha nyayo nyuma
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
 
Kweli Mkuu Mshana kumbuka wahenga walinena kuwa kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa ni kosa kubwa sana na huwa hakuna msamaha.
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
Mmh pole sana sana!
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
Pole sana. Kilichofanyika wakati ule ilikuwa ni sawa na Uhaini. Serikali ilitakiwa ifanye kitu ili iwe kumbukumbu kwa wengine. Watu walipoteza ndugu sana. Ule ni uhaini tu
 
Pole sana!

Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
 
Pole sana. Kilichofanyika wakati ule ilikuwa ni sawa na Uhaini. Serikali ilitakiwa ifanye kitu ili iwe kumbukumbu kwa wengine. Watu walipoteza ndugu sana. Ule ni uhaini tu
Kwa akili na mtizamo wa upande mmoja, ukienda upande wa pili nao walikuwa wanadai haki zao na sio kwamba waliamka siku hiyo na kugoma.

Kuwa fair. Ajira na ujira. Usiliwachukie nyuki, mchukie aliyerusha jiwe kwenye mzinga pia.
 
Back
Top Bottom