Elections 2010 Hawakuahidi "mabadiliko" kwanini watu wanatarajia mabadiliko?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,461
39,928
Katika kampeni nzima Chama cha Mapinduzi hakikuahidi mabadiliko yoyote makubwa aidha ya mfumo wa kisiasa, miundombinu ya utendaji au hata mabadiliko ya kuona haja ya kufanya mageuzi makubwa ya kiutendaji ili kujenga mazingira bora ya kisiasa, kiuchumi na kiuwajibikaji. Ukilinganisha na vyama vingine hasa Chadema CCM haikuahidi kubadili muundo wa taasisi zake n.k Iliahidi kuendelea na kile kiliichopo kwa sababu inakubalika na wananchi.

Baada ya uchaguzi watu wameshikilia pumzi zao wakisubiri kuona kama kuna mabadiliko yoyote na wanaamini litakapotangazwa baraza la mawaziri basi ndio ishara ya wapi tunakwenda itaonekana. Lakini nyuma ya hilo ni kuwa yumkini serikali ijayo itasimamia mabadiliko muhimu. Lakini hawakuahidi mabadiliko!

Kama ni kweli (na ninaamini ndivyo) watu wana msingi gani wa kusubiri kwa hamu hotuba ya Rais Bungeni au baraza la Mawaziri jipya? Hivi serikali ikirudi na sura mpya lakini mwelekeo ule ule itawashangaza? Je ikija serikali mpya na semina mpya ya Ngurdoto na ziara za kila wizara kuwapa maelekezo itawapa tumaini?


Labda watu wapunguze matarajio yao (lower expectations) wasije wakaumizwa sana kwa kuona kile wanachohofia ndicho kinatokea. Watu wawe tayari kukumbatia na kukubali serikali inayokuja kwa misingi ya kuwa ni mwendelezo tu wa serikali iliyopita na wasitarajie mabadiliko makubwa kwenye baraza la mawaziri wala kwenye utendaji wake. Yaani, kile kilichotokea miaka mitano iliyopita, ndicho kitatokea miaka mitano ijayo na kwa mfuatano huo huo ndicho kitatokea miaka mitano baada ya 2015 endapo watu wale wale watachaguliwa.

Kwa maneno mengine... DON'T EXPECT CHANGE, YOU WILL BE DISAPPOINTED. Tarajia kile kile na tuendelee kuombea na kudumisha amani, umoja, utulivu na ushirikiano kati ya walioshiba na wenye njaa!
 
Labda watu wapunguze matarajio yao (lower expectations) wasije wakaumizwa sana kwa kuona kile wanachohofia ndicho kinatokea. Watu wawe tayari kukumbatia na kukubali serikali inayokuja kwa misingi ya kuwa ni mwendelezo tu wa serikali iliyopita na wasitarajie mabadiliko makubwa kwenye baraza la mawaziri wala kwenye utendaji wake. Yaani, kile kilichotokea miaka mitano iliyopita, ndicho kitatokea miaka mitano ijayo na kwa mfuatano huo huo ndicho kitatokea miaka mitano baada ya 2015 endapo watu wale wale watachaguliwa.

I called it long ago....putting CCM back in power will get us more of the same.
 
asante MK,
hapa mm ndio naposhindwa kuelewa baadhi ya wa tz wenzangu wanafikiria kwa kutumia ubongo au miguuu,inakuaje mtu umehenyeka na unaendelea henyeka na life,then the same u unawapa kura hao hao waliosabisha uwe maskini na mbaya zaidi wala hawahangaiki kuahidi what MK call mabadiliko,then unazidi kukaa kusubiria mabadiliko ss mabadiko ganiiii......swali la kujiuliza si no bora mtu uchukue risk or chance ya kumpa yule ambae ameahidi ili ufanye comparison na huyu alieku disapoint for 49 years,,,yaani if all my fellow tz cld think hata nusu of what i think tz ingekua ktk level nyingine....

god bless those few walio na nia yakuibdlisha tz na awaumbue wale wanaoifilisi nchi bila huruma
 
Kwa maneno mengine... DON'T EXPECT CHANGE, YOU WILL BE DISAPPOINTED. Tarajia kile kile na tuendelee kuombea na kudumisha amani, umoja, utulivu na ushirikiano kati ya walioshiba na wenye njaa!
Nakubaliana na wewe ila kumbuka watu wanafikiri eti alivyoumbuliwa katika uchakachuaji JK atakuwa amejifunza kitu na atakuwa 'humble' - tatizo hawamjui vizuri...
Ila kwa ujumla mi sina expectations zozote kwa rais na watendaji wake soI can never be disappointed na ni msimamo wangu tokea 2005...
 
Mwanakijiji... we shoudlnt expect much really, ila my biggest surprise ni KAFU

I really dont know how one can surrender everything like that
 
Susuviri unafikiri hotuba yake ijayo itakuwa na unyenyekevu wa kutambua matatizo yaliyojitokeza na haja ya kubadili tume ya uchaguzi au itakuwa ni ya majigambo ya kuwa waliomkaa walikuwa wamepotoshwa na ahadi tu za wapinzani na ni kujikwaa kidogo lakini siyo kuanguka? Nafikiri hilo la pili ndilo linawezekana.
 
Absolutely mkuu, hilo la pili ndo haswaa atakachosema. Pia mawaziri atakaowateua wata-reflect dharau na majigambo yake.. na hawezi hata siku moja kuwa mnyenyekevu kwani anadhani kuwa ni mjanja kuoita watanzania wote, hajui kuwa tumemstahi sana...:A S angry:
 
Mimi nasubiri nione USANII tena wa FICTION wa Kesi za kina mramba na liyumba

Lakini movie inaboa kama mwisho wake unabashirika. Tumeona movie ya Chenge inavyomalizzwa ila maproducer wa SFO wanasema bado haijaisha hawa wetu wa TAKUKURU wanasema Movie imeisha.

Nachojiuliza nani mwingine atatolewa kafara kupandisha umaarfu wa JK??? kwa sisi watazamaji wa hii sanaa ya uongozi wa nchi tutarajie usanii gani? na nani watakuwa wahusika wakuu ?
 
Mwanakijiji nafikiri mabadiliko tunayoyategemea sisi watanzania kwa kuichagua sisiemu ni kama yale yaliyotokea katika uteuzi wa spika.
Mabadiliko ya kutoka hali mbaya kwenda hali mbaya zaidi.Nafikiri unakumbuka hata kauli mbiu ilibadilika kutoka kasi mpya,nguvu mpya na hari mpya na kubadilika kwenda kasi zaidi,nguvu zaidi,na hari zaidi.So tutegemee ufisadi zaidi,wizi zaidi,ujambazi zaidi na matatizo zaidi.Hayo ndo tunayoyategemea.
 
Mabadiliko pekee ni yale ya kutoka hali mbaya kwenda mbaya zaidi. Yale ambayo Dr. Slaa alisema kuwa atayafanyia kazi mfano kupunguza bei ya vifaa vya ujenzi tutegemee vifuatavyo:
- bei ya mfuko wa Simenti itatoka Tzs.15,000 hadi Tzs.20,000 (ongezeko Tzs.5,000) wakati Dr. Slaa alisema bei yake ingeshuka kuwa Tzs.5,000.
- bei ya bati itaongezeka kwa mwendo huo huo
- mgawo wa maji utakuwa kama kawaida
- bei ya mazao itashuka kama mchezo.
- mishahara itabaki pale pale
- mfumuko wa bei utapaa kama boeing 707

Hadi tufike 2015 tutakuwa tumeshachoka vya kutosha wala hatutakuwa na hamu na nchi hii inayoitwa Tanzania.
 
Mwaka 2005 waliahidi mabadiliko makubwa sana na kuahidi maisha bora kwa kila mtanzania, wakapata asilimia 80 ya kura, wakabweteka, wakafanya madogo. Mwaka huu hawakuahidi makubwa, zaidi ya meli na viwanja vya ndege, wakapata asilimia 60 ya kura, wamesononeka, wamesikitika, hivyo watafanya makubwa ili kurudisha imani ya wananchi kwa CCM. Natarajia makubwa kutoka kwa JK katika kipindi hiki cha uongozi wake.
 
Kwa maneno mengine... DON'T EXPECT CHANGE, YOU WILL BE DISAPPOINTED. Tarajia kile kile na tuendelee kuombea na kudumisha amani, umoja, utulivu na ushirikiano kati ya walioshiba na wenye njaa!


Hii ya kudumisha ushirikiano kati ya wenye njaa na walioshiba ndio mhimu zaidi. Amani haipo ila utulivu upo.
 
Katika kampeni nzima Chama cha Mapinduzi hakikuahidi mabadiliko yoyote makubwa aidha ya mfumo wa kisiasa, miundombinu ya utendaji au hata mabadiliko ya kuona haja ya kufanya mageuzi makubwa ya kiutendaji ili kujenga mazingira bora ya kisiasa, kiuchumi na kiuwajibikaji. Ukilinganisha na vyama vingine hasa Chadema CCM haikuahidi kubadili muundo wa taasisi zake n.k Iliahidi kuendelea na kile kiliichopo kwa sababu inakubalika na wananchi.

Baada ya uchaguzi watu wameshikilia pumzi zao wakisubiri kuona kama kuna mabadiliko yoyote na wanaamini litakapotangazwa baraza la mawaziri basi ndio ishara ya wapi tunakwenda itaonekana. Lakini nyuma ya hilo ni kuwa yumkini serikali ijayo itasimamia mabadiliko muhimu. Lakini hawakuahidi mabadiliko!

Kama ni kweli (na ninaamini ndivyo) watu wana msingi gani wa kusubiri kwa hamu hotuba ya Rais Bungeni au baraza la Mawaziri jipya? Hivi serikali ikirudi na sura mpya lakini mwelekeo ule ule itawashangaza? Je ikija serikali mpya na semina mpya ya Ngurdoto na ziara za kila wizara kuwapa maelekezo itawapa tumaini?


Labda watu wapunguze matarajio yao (lower expectations) wasije wakaumizwa sana kwa kuona kile wanachohofia ndicho kinatokea. Watu wawe tayari kukumbatia na kukubali serikali inayokuja kwa misingi ya kuwa ni mwendelezo tu wa serikali iliyopita na wasitarajie mabadiliko makubwa kwenye baraza la mawaziri wala kwenye utendaji wake. Yaani, kile kilichotokea miaka mitano iliyopita, ndicho kitatokea miaka mitano ijayo na kwa mfuatano huo huo ndicho kitatokea miaka mitano baada ya 2015 endapo watu wale wale watachaguliwa.

Kwa maneno mengine... DON'T EXPECT CHANGE, YOU WILL BE DISAPPOINTED. Tarajia kile kile na tuendelee kuombea na kudumisha amani, umoja, utulivu na ushirikiano kati ya walioshiba na wenye njaa!

Is that how you pray to see walioshiba na wenye njaa wanakaa kwa amani na utulivu? Kama ni kweli basi ni suala la muda! Sio mimi ndio nasema, ila universal laws and principles. Mtu mwenye njaa hajui lolote isipokuwa apate nini kiende kinywani. Imagine kama idadi kubwa ya watu wanakuwa hivyo! It's a recipe for disaster.
 
Absolutely mkuu, hilo la pili ndo haswaa atakachosema. Pia mawaziri atakaowateua wata-reflect dharau na majigambo yake.. na hawezi hata siku moja kuwa mnyenyekevu kwani anadhani kuwa ni mjanja kuoita watanzania wote, hajui kuwa tumemstahi sana...:A S angry:

Hivi kwani CCM itaisha baada ya miaka mitano ya uongozi huu? Kama kweli ina nia ya kushika dola kwa kura za wapiga kura, they must do something. If they continue with the trend of business as usual, people will throw them out and it would be by vote or by force.Tusidharau kabisa uwezo wa watu kufanya wanayotaka wakiamua
 
Katika kampeni nzima Chama cha Mapinduzi hakikuahidi mabadiliko yoyote makubwa aidha ya mfumo wa kisiasa, miundombinu ya utendaji au hata mabadiliko ya kuona haja ya kufanya mageuzi makubwa ya kiutendaji ili kujenga mazingira bora ya kisiasa, kiuchumi na kiuwajibikaji. Ukilinganisha na vyama vingine hasa Chadema CCM haikuahidi kubadili muundo wa taasisi zake n.k Iliahidi kuendelea na kile kiliichopo kwa sababu inakubalika na wananchi.

Baada ya uchaguzi watu wameshikilia pumzi zao wakisubiri kuona kama kuna mabadiliko yoyote na wanaamini litakapotangazwa baraza la mawaziri basi ndio ishara ya wapi tunakwenda itaonekana. Lakini nyuma ya hilo ni kuwa yumkini serikali ijayo itasimamia mabadiliko muhimu. Lakini hawakuahidi mabadiliko!

Kama ni kweli (na ninaamini ndivyo) watu wana msingi gani wa kusubiri kwa hamu hotuba ya Rais Bungeni au baraza la Mawaziri jipya? Hivi serikali ikirudi na sura mpya lakini mwelekeo ule ule itawashangaza? Je ikija serikali mpya na semina mpya ya Ngurdoto na ziara za kila wizara kuwapa maelekezo itawapa tumaini?


Labda watu wapunguze matarajio yao (lower expectations) wasije wakaumizwa sana kwa kuona kile wanachohofia ndicho kinatokea. Watu wawe tayari kukumbatia na kukubali serikali inayokuja kwa misingi ya kuwa ni mwendelezo tu wa serikali iliyopita na wasitarajie mabadiliko makubwa kwenye baraza la mawaziri wala kwenye utendaji wake. Yaani, kile kilichotokea miaka mitano iliyopita, ndicho kitatokea miaka mitano ijayo na kwa mfuatano huo huo ndicho kitatokea miaka mitano baada ya 2015 endapo watu wale wale watachaguliwa.

Kwa maneno mengine... DON'T EXPECT CHANGE, YOU WILL BE DISAPPOINTED. Tarajia kile kile na tuendelee kuombea na kudumisha amani, umoja, utulivu na ushirikiano kati ya walioshiba na wenye njaa!

Tangu enzi za Mkapa, Tanzania haijawahi kuwa na Rais, isipokuwa ina mtu anayependa kuitwa Rais.
 
Kwa maneno mengine... DON'T EXPECT CHANGE, YOU WILL BE DISAPPOINTED. Tarajia kile kile na tuendelee kuombea na kudumisha amani, umoja, utulivu na ushirikiano kati ya walioshiba na wenye njaa!


Hii ya kudumisha ushirikiano kati ya wenye njaa na walioshiba ndio mhimu zaidi. Amani haipo ila utulivu upo.


I have liked that in Blue.Ukweli ndio huo.
 
.
Kwa maneno mengine... DON'T EXPECT CHANGE, YOU WILL BE DISAPPOINTED. Tarajia kile kile na tuendelee kuombea na kudumisha amani, umoja, utulivu na ushirikiano kati ya walioshiba na wenye njaa!

Very interesting but have you forgotten that

In the same Country with the same people following the same system and headed by the same Party with the same political leaders using the same management tactics and styles and assisted by the same executives who follow the same constitution and system, It will be either guarding the change or changing the change.
and also,
Politicians normally promise what they can't deliver and worse than that they fail to deliver even what they could with best commitments and available resources.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom