Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,503
- 19,341
Waliahidi kuleta bidhaa nyingi sana kutoka CHINA. Nadhani watazileta, kwani hawakuahidi kututengezea mazigira ya sisi kutengezea bidhaa zetu wenyewe.
Rais Kikwete aliahidi kupeleka araja la kisasa na mto kwenye kijiji fulani, kuna mji mwingine uliahidiwa meli kubwa na bahari, mji mwingine uliahidiwa kuwa utaletewa Dubai, akina mama wajawazito waliahidiwa bajaji, ....
Tunasubiri !!!!!
Rais Kikwete aliahidi kupeleka araja la kisasa na mto kwenye kijiji fulani, kuna mji mwingine uliahidiwa meli kubwa na bahari, mji mwingine uliahidiwa kuwa utaletewa Dubai, akina mama wajawazito waliahidiwa bajaji, ....
Tunasubiri !!!!!