jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Wanajamvi,
I am confused kusema ukweli! Yani serikali inavyopinga kuwa haijahusika na jaribio la kutaka kumuuwa Lissu, lakini hapo hapo wanasema Lissu ni msaliti wa Taifa anayetakiwa kufa! Wengine wanadiriki kusema akirudi watamalizia kazi ambayo hawakuimaliza!
Maajabu ya mzee Rajabu...
I am confused kusema ukweli! Yani serikali inavyopinga kuwa haijahusika na jaribio la kutaka kumuuwa Lissu, lakini hapo hapo wanasema Lissu ni msaliti wa Taifa anayetakiwa kufa! Wengine wanadiriki kusema akirudi watamalizia kazi ambayo hawakuimaliza!
Maajabu ya mzee Rajabu...