Hawaamini macho yao

Hivi hawa watu walikuwa wanapata muda wa kuona familia zao?

Mie ndo kwanza nawaona wamekaa leo,(natania). Ila nawaombea kwa Allah awape nyoyo za subra kipindi hiki. Mie tu niliyekuwa namuona JPM kwenye runinga nimeumia hivi, je wao wana hali gani?.
 
FB_IMG_1616524551550.jpg
 
Pamoja na makosa mengi ya JPM alijitoa muhanga huku akijua anachukiwa na wengi kwa maamuzi yake, akitamani aone kitu kikifanyika, Tanzania mpya.
Na uharaka wa kufanya mambo ni kiashiriavtosha alijua hana muda.
Nani aliwahi kuwapinga mabeberu akaishi?
Hili nalo gumu kung'amua kilichotokea?
Kadiri siku zinavyosogea tutajua mengi
Nilikaa Geto, Chozi likatoka mzee, Hakika kivyovyote kwa aliehusika lazima ibackfire haswa wa interior ntakuwa wa mwisho kuamini kuwa mzee amefariki na magonjwa, amelijitoa mhanga kweli kweli na amefanya makubwa sana bila hofu yoyote
 
Duu, hatari sana jamani, ni Kama kuku kachukuliwa na mwewe kaacha vifaranga
 
Back
Top Bottom