Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,981
"Roho yake iwekwe mahali pema peponi"
Kama unamuamini Mungu. Je haya maneno humsaidia Mwendazake (Marehemu)? Kama yanamsaidia basi kuna haja gani ya mtu kuhangaika kutenda mema ilhali ukifa wakawepo mapadre,wachungaji,maaskofu,masheikh,maimamu wengi wakakuombea basi ile hukmu yako yaghairishwa.
Unakuwa umeombewa ghofilo. (msamaha) je inawezekana kabisa mpaka mtu anakufa Mungu hajapanga au hajui pa kumweka mhusika? Hivyo akishakufa watu mkamwombea anawekwa mahali pema?
Kama ni hivyo nadhani wachache sana wataenda Motoni.labda wale ambao walikuwa majambazi au wauaji. Ila kama ni hizi dhambi zetu common za Uzinzi, Ulevi, Uongo, Husda, Uasherati, Wizi, Ufisadi, Uchoyo, Chuki na Mauaji ya Siri basi nadhani hizi watu wataenda tu mahali pema. Maana hawa huwa wanaombewa sana. Na hasa kama walikuwa na mkwanja ibada huwa zinakuwa ndefu na zenye pambo nying nyingi na sifa za Mwendazake.
Otherwise mimi naona huwa ni usanii tu. Mtu mpaka amekufa kama hakutubu sisi hatuwezi batilisha ukaazi wa Roho yake. Alipaswa awe mwema akiwa hai.
Kama unamuamini Mungu. Je haya maneno humsaidia Mwendazake (Marehemu)? Kama yanamsaidia basi kuna haja gani ya mtu kuhangaika kutenda mema ilhali ukifa wakawepo mapadre,wachungaji,maaskofu,masheikh,maimamu wengi wakakuombea basi ile hukmu yako yaghairishwa.
Unakuwa umeombewa ghofilo. (msamaha) je inawezekana kabisa mpaka mtu anakufa Mungu hajapanga au hajui pa kumweka mhusika? Hivyo akishakufa watu mkamwombea anawekwa mahali pema?
Kama ni hivyo nadhani wachache sana wataenda Motoni.labda wale ambao walikuwa majambazi au wauaji. Ila kama ni hizi dhambi zetu common za Uzinzi, Ulevi, Uongo, Husda, Uasherati, Wizi, Ufisadi, Uchoyo, Chuki na Mauaji ya Siri basi nadhani hizi watu wataenda tu mahali pema. Maana hawa huwa wanaombewa sana. Na hasa kama walikuwa na mkwanja ibada huwa zinakuwa ndefu na zenye pambo nying nyingi na sifa za Mwendazake.
Otherwise mimi naona huwa ni usanii tu. Mtu mpaka amekufa kama hakutubu sisi hatuwezi batilisha ukaazi wa Roho yake. Alipaswa awe mwema akiwa hai.