Hawa ni nembo ya taifa, lakini bado majitu mengine kushibisha matumbo yao tu. vizazi vijavyo wataishia kuwaona hawa twiga kwenye vitabu na intaneti, huku waarabu na makaburu wakifaudu huko kwenye Zoo zao. amkeni jamani tunaporwa!!! Tanzania majeshi yote hayo halafu bado tunaporwa??? Uzalendo Zero!!
wana jf ni kweli tunatoa mchago mkubwa sana kwenye jamii lakini imefika wakati tutoe mchongo wetu kwa vitendo kama walivyofanya wananchi wa GEITA kwa kumtimua mbunge na diwani wao hebu tuanze hata kwa kuzomea huku tukiendelea kuhama sisha bibi,babu na wadogo zetu kuipiga CCM kwa vitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.