dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
eti dunia idadi ya watu imeongezeka na kufikia billion7.wanasema eti mtoto wa billion saba amezaliwa Tanzania ambapo bado hajapewa jina ila kazaliwa na mwanamama Kurwa Juma.
swali rangu;
wametumia kanuni gani kujua kama mtoto yule ndo wa billion saba?ni hayo tu.
swali rangu;
wametumia kanuni gani kujua kama mtoto yule ndo wa billion saba?ni hayo tu.