Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Kumekuwa na unyanyasaji wa wananchi katika ardhi yao huku viongozi wakifumbia macho mambo haya.
Jana ITV nimeona wananchi wakifukuzwa kwenye mashamba yao walipozaliwa wakiambiwa wampishe mwekezaji, hivi mimi mTanzania naweza kwenda Africa ya kusini, au Ulaya na kufukuza watu sehemu yao kisa nimekwenda kuwekeza? Wafanyakazi kwenye makampuni ya wazungu wananyanyasika, wengi permit ni fake, uhamiaji wanakwenda kuchukua rushwa siku hadi siku, nini kifanyike ili wananchi tunufaike na matunda ya nchi yetu?
Mheshimiwa rais Magufuli, kuna sehemu unahujumiwa na watendaji wako, wahamiaji ni wengi sana wasio na vibali na tunawajua na tupo tayari kutoa ushirikiano
Mh Mwigulu Nchemba, tunahitaji muongozo wako kuhusu hili
Tufike mahali tukomeshe ukoloni mamboleo
Jana ITV nimeona wananchi wakifukuzwa kwenye mashamba yao walipozaliwa wakiambiwa wampishe mwekezaji, hivi mimi mTanzania naweza kwenda Africa ya kusini, au Ulaya na kufukuza watu sehemu yao kisa nimekwenda kuwekeza? Wafanyakazi kwenye makampuni ya wazungu wananyanyasika, wengi permit ni fake, uhamiaji wanakwenda kuchukua rushwa siku hadi siku, nini kifanyike ili wananchi tunufaike na matunda ya nchi yetu?
Mheshimiwa rais Magufuli, kuna sehemu unahujumiwa na watendaji wako, wahamiaji ni wengi sana wasio na vibali na tunawajua na tupo tayari kutoa ushirikiano
Mh Mwigulu Nchemba, tunahitaji muongozo wako kuhusu hili
Tufike mahali tukomeshe ukoloni mamboleo