Hawa watu wanaongoza kwa kumiliki wanawake wazuri wazuri hivi huwa kuna siri gani?

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,276
21,395
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
  • Wakaanga samaki
  • Wakaanga chipsi
  • Waganga wa kienyeji
  • Makonda wa daladala
  • Madreva boda na bajaji
  • Wachekeshaji (comedian)
  • Wavuvi na wazamiaji
 
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
  • wakaanga samaki
  • wakaanga chipsi
  • Waganga wa kienyeji
  • makonda wa daladala
  • madreva boda na bajaji
  • wachekeshaji (comedian)
  • wavuvi na wazamiaji
Ungewauliza tu
 
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
  • wakaanga samaki
  • wakaanga chipsi
  • Waganga wa kienyeji
  • makonda wa daladala
  • madreva boda na bajaji
  • wachekeshaji (comedian)
  • wavuvi na wazamiaji
Kwahiyo mapropesa kama kabudi na lipumba ndo wanatakiwa kumiliki watoto/madem/wanawake wakali lakini sio sisi manaharia?wacha ubaguzi.na sie pia tuna moyo.
Zingatia:papa/papuchi haina vidato.
 
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
  • wakaanga samaki
  • wakaanga chipsi
  • Waganga wa kienyeji
  • makonda wa daladala
  • madreva boda na bajaji
  • wachekeshaji (comedian)
  • wavuvi na wazamiaji
Uchawi, uwezo wao kitandani, Saundi Mingi, Huduma/Kazi zao kua most wanted, etc
 
Kwahiyo mapropesa kama kabudi na lipumba ndo wanatakiwa kumiliki watoto/madem/wanawake wakali lakini sio sisi manaharia?wacha ubaguzi.na sie pia tuna moyo.
Zingatia:papa/papuchi haina vidato.
:rolleyes::rolleyes:
 
Wanawake wanaweza pumbazika na kitu kidogo sana. Dereva boda anaweza mtoa ubungo akampeleka kimara akaona kafanyiwa jambo kubwa sana kumbe bodaboda katumia lita moja ya petrol ambayo ni sh elf 2 tu
hàhaha
 
Back
Top Bottom