Hawa watu sasa wamekubali kuwa Corona imeisha?

Hoja si kufichwa kwa takwimu. Ndiyo maana katika kurejea takwimu za John Hopkins nimekupa ni nchi nne tu dunia nzima ambazo zilikuwa angalau na ujasiri wa kuweka data mpya za vifo katika kipindi kile. Achilia mbali suala la u sahihi wa data hizo ambalo nalo ni jambo jingine.

Hoja ni kuwa unadadavua namba zipi wakati dunia yote imejikita kwenye data za uongo ambapo sisi ndiyo baba lao?

Kwa maana nyingine dadavuzi zako hapa chini hazisimami na mithili ya gunia tupu.

Yaani kuwa udadavuzi huu ni garbage kwani zimepikwa tokea jalalani:

View attachment 1513684
Unaposema kitu ni cha uongo, unapaswa kusema kilicho cha ukweli.

Kama data za Johns Hopkins ni za uongo, basi weka wewe zilizo za ukweli.

Ukifanya hivyo, utasaidia wengi.
 
Unaposema kitu ni cha uongo, unapaswa kusema kilicho cha ukweli.

Kama data za Johns Hopkins ni za uongo, basi weka wewe zilizo za ukweli.

Ukifanya hivyo, utasaidia wengi.


Nyani Ngabu, hapa chini ni bandiko lako:

IMG_20200722_173319_450.jpg


Unakiri kuwa kwa hakika takwimu hazipo. Kwamba si Tanzania tu aliyeamua kwa makusudi kufunga watu kamba za mgomba, bali hata magwiji kama USA, UK, China, Brazil nk nao maji ga nyanja!

Kwamba ni kweli data hizi zilizopo hazina tofauti na zile za jalalani:

IMG_20200722_150349_153.jpg


Umetumia data za jalalani mkuu kupata output unayoileta hadharani? Kwamba output yako siyo garbage?

Kuwa John Hopkins hana credible data? Hilo mbona si wewe peke yako unayelijua bali hata watanzania wa leo huku kwenu 'Ikungu lya bashashi' tunajua hivyo.
 
Nyani Ngabu, hapa chini ni bandiko lako:

View attachment 1513934

Unakiri kuwa kwa hakika takwimu hazipo. Kwamba si Tanzania tu aliyeamua kwa makusudi kufunga watu kamba za mgomba, bali hata magwiji kama USA, UK, China, Brazil nk nao maji ga nyanja!

Kwamba ni kweli data hizi zilizopo hazina tofauti na zile za jalalani:

View attachment 1513937

Umetumia data za jalalani mkuu kupata output unayoileta hadharani? Kwamba output yako siyo garbage?

Kuwa John Hopkins hana credible data? Hilo mbona si wewe peke yako unayelijua bali hata watanzania wa leo huku kwenu 'Ikungu lya bashashi' tunajua hivyo.
Hueleweki aisee! 🤣🤣

Hahahaa hivi hata wewe mwenyewe unaelewa kweli ulichokiandika?

Sidhani hata kama ulielewa nilichoandika ambapo nilikuwa namjibu Kiranga.

Andika vizuri ili ueleweke. Labda tunaweza kujadili vizuri.
 
Mwamba nasikia Madagascar hospitali zimefurika.Hapo Nairobi wanapata wagonjwa 500 kwa siku.Sisi kwetu gonjwa limekimbia baada ya kipigo kikali.
Nami ‘nimesikia’ huko Antananarivo spitali ziko tupu.
 
Unaposema kitu ni cha uongo, unapaswa kusema kilicho cha ukweli.

Kama data za Johns Hopkins ni za uongo, basi weka wewe zilizo za ukweli.

Ukifanya hivyo, utasaidia wengi.
Speaking of data, data za Tanzania zinazoonesha tumeishinda Corona ziko wapi?
 
Hueleweki aisee! 🤣🤣

Hahahaa hivi hata wewe mwenyewe unaelewa kweli ulichokiandika?

Sidhani hata kama ulielewa nilichoandika ambapo nilikuwa namjibu Kiranga.

Andika vizuri ili ueleweke. Labda tunaweza kujadili vizuri.

Mkuu nilichoandika kiko wazi. Kwamba umeshindwa kuelewa? Kwamba hukuelewa hiyo haina tatizo. Kuelewa kunahitaji kiwango fulani cha jitihada.

Katika niliyoandika:

1. Ni nukuu ya wazi kutoka kwako ikikubaliana nami kuwa kwa hakika takwimu hazipo:

IMG_20200722_184012_738.jpg


2. Takwimu zipi ulizotumia wewe kwa huu udadavuzi?

IMG_20200722_142911_154.jpg
 
Mkuu nilichoandika kiko wazi. Kwamba umeshindwa kuelewa? Kwamba hukuelewa hiyo haina tatizo. Kuelewa kunahitaji kiwango fulani cha jitihada.

Katika niliyoandika:

1. Ni nukuu ya wazi kutoka kwako ikikubaliana nami kuwa kwa hakika takwimu hazipo:

View attachment 1514064

2. Takwimu zipi ulizotumia wewe kwa huu udadavuzi?
Sielewi unachokiongelea.

Deuces ✌🏿
 
Sielewi unachokiongelea.

Deuces ✌🏿

Mkuu, lives of the 'Ikungu lya bashashi' matter.

Kwamba ulipo mkuu pana hatua za kukuhakikishia wewe usalama wako ndani ya dhahama hakuhalalishi kuwachuuza wengine kwa maslahi yoyote binafsi.

"Ilikuwa Tanzania ile. Siyo hii ya leo." Asema mzee baba.
 
Membe kajipaka vitakasa mikono pia alinawa mikono baada ya kutoka pale na kwenda kutafuna tangawizi kunywa maji ya limau Asprin kwa wingi, corona ipo nyingi hapo jijini Dsm lakini kwa kuwa watu wameamua kufanya siri hawataki kusema ndugu zao wamekufa kwa covid 19 bali husingizia ni magonjwa mengine ya kawaida tu, wengi hawataki ijulikane wana mgonjwa wa corona kwao wakihofia kutengwa na jamii zilizowazunguka, hilo jiji la Dsm lina watu zaidi ya milion 5 na wengi huishi uswahilini kwenye misongamano mkubwa ambapo hufa wengi lakini wanafanya siri huku wewe na CCM mkiendelea kuwahadaa watanzania kuwa corona imekwisha Tanzania.
Kwenu wamekufa wangapi? Hebu tuanzie hapo kwanza!!
 
I have no reason to risk going out unnecessarily.

I work from home. I do go out food shopping once in a while. I am not one of those people who itch to go outside. That is animal behavior.I have a thousand and one projects to do at home, currently I am collecting Artificial Intelligence datasets to fill a 288 terrabyte array in my basement (two 720xds). Also collecting and trying out different distros from www.distrowatch.com.

One corner of that basement has a thousand paperbacks waiting for me.That is just a corner.I estimate about 10 to 12k physical titles overall. I am getting an average of two new titles a day.I am not even getting into the ebooks across some 25 tablets and readers.I am getting the new Nyerere set by Shivji et al in a few days. The movies and TV shows on my list I am not even going to pretend to count. The treadmill beckons, the weights are calling me, the baby grand and the upright are demanding my time. If human civilization was erased today, and only my house remained, I would still preserve a good chunk of this civilization. From "The Decline And Fall of The Roman Empire" by Gibbon to "The Road To Reality: A Complete Guide To The Laws Of The Universe". I don't feel that I need to go out.In fact staying inside has helped me cut on unnecessary shopping.

Even as I do not have a compromised immune system, I do not have a reason to venture out.

I hope Tanzania lucks out (there is no other way to put it, if we do not get impacted like Europe or the Americas). But the lack of concern, even from people who should know better, worries me.
At LA Fitness right now pumping some iron...

And where you at? In yo basement? 😄

08B7DC6F-9E1F-4030-B7AE-C6514AD6AA05.jpeg
 
At LA Fitness right now pumping some iron...

And where you at? In yo basement?

View attachment 1514141
Top floor, listening to Nikki Mbishi Baba Malcolm. Still at work.

Amazon messed my order of additional 24 terabytes, to the 29th.

Otherwise I would be in the basement setting up some overkill array to backup the entire arxiv.

You will thank me later, when Trump deletes the internet.
 
We vipi
Corona kutokuwepo sasa haimaanishi kipindi kile haikuwepo..
Halafu acheni kufanya kama Afrika nzima Magufuli peke ake hakuweka lockdown..
Nitajie nchi nyingine zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda, South Africa na Nigeria zilizokuwa na lockdown.
Uko sahihi mkuu! Kuna nchi nyingi za Afrika na hata Amerika ya kusini hazikuweka Lockdown ila ile ya kuto weka lockdown ya Tanzania ilisikika ulimwengu mzima zaidi kwa sababu ya BBC Dira ya Kiswahili.

Kwanini ilikuwa hivyo? Jibu ni kuwa hii idhaa ina lengo moja tu kuvwa la kupiga propaganda za kuleta vurugu na kuchochea kusambaratika kwa Taifa letu.

Kwenye mkasa wa Coronavirus na Tanzania kuamua kutofunga mipaka na ku-lockdown, walipata sababu kubwa ya kumwangusha mwamba, yaani Rais wetu Magufuli, na hatimaye kuiangusha nchi yetu Tanzania. Kwa bahati mbaya mahesabu yao yalienda kalijojo. Hawajui kuwa hii nchi ina mizimwi yake ya watemi walio ishi kwa amani hata kabla ya "Bloodthirsty" wakoloni kuvamia nchi yetu.

Jiulizeni nyinyi wenyewe hii idhaa iko kwa ajili gani East Africa? Na kwa manufaa ya nani? Kama Broadcusting TV na Radio Stations mbona East Africa ziko nyingi sana mpaka nyingine zina kosa watazamaji na wasikilizaji mpaka sisi tuihitaji BBC, Dira ya Kiswahili? To hell with it!

Sidhani kama kuna mtanzania mwenye akili timamu ana ihitaji hii station au idhaa zidi ya yale masokwe yanayo ota njozi za mchana za kuchukua madaraka ya hii nchi. Waendelee kuota tu. Katika uhai wetu haya manyang'au hayatapata madaraka ya nchi.

Na wajiangalie vizuri sana! Machafuko yakitokea Tanzania hakuna familia zita survive. Awe Salim Kikeke wala mtoto wa Salim Kikeke wala Zitto. Vizazi vyao navyo vyote vitaangamia kama vizazi vyetu popote pale walipo duniani.

Kwanza interesting news ambazo zinaweza zikatufanya sisi tusilale usingizi hawana, labda kwa wale wapenda kuangalia au kupata taarifa za mpira wa timu za Premier League England.

Taarfa za habari za kutuelimisha sisi katika mambo ya kisayansi na utaalam hawana. Kazi ni kuelezea ubaya wa nchi za kiafrika na hasa Tanzania. Tanzania ni focus yao kubwa na sio kingine.

Wakenya wengi wanazungumza kiingereza zaidi kuliko kiswahili. Ni wakenya wachache wa pwani ya kenya ndiyo wanatumia kiswahili zaidi. Uganda wana lugha yao na kiingereza, DRC zaidi kilingala na kifaransa. Malawi kinyanja na kiingereza, Msumbiji kireno zaidi.

Kwa hali hiyo sinabudi kusema kuwa BBC Kiswahili iko kwa ajili yetu, kwasabau sisi ndiyo baba lao. Tanzania ni Bulldozer wa Afrika na ni tishio kwa wazungu kwasaba sisi ni taifa pekee lisilo kuwa tegemezi kwa chochote kile na tuna Lugha yetu ya kujivunia na tuko safi sana. Ukija na kiingereza chako tutakuona mtindiga tu. Huna kitu!

Wazungu baada ya ku-scoot sana ndiyo wamekuja na hii Station ili watupige sisi na propaganda zao za demokrasia uchwara na haki za binadam uchwara mpaka sisi tusalim amri.

Kwa hivi sasa watanzani wazalendo na wenye elimu kidogo wanaikandia hii idhaa na wala hawaitilii maanani. Ni matindiga tu kama akina Zitto Kabwe na makachero wengine wa upinzani kama Lissu ndiyo nawaona mara kwa mara kwenye hii idhaa.

Watumishi wa serikali ndiyo kabisa wameigeuzia mgongo. Wamesha ishitukia ile kishenzi kiasi kwamba watumishi wachache wanawapa Information na Interview.

Waigereza na mataifa ya magharibi yanatumia mamilion ya Dolla kugharimia hii idhaa lakini mpaka sasa impact yake ni ndogo sana kwao. Kitu ambacho labda hawakielewi ni kwamba kwa kurusha habari kwa lugha yetu wanatusaidia sisi kuipanua lugha yetu. Watu wenyewe interest ya kujifunza kiswahili duniani inazidi kuongezeka siku hadi siku, kama Salim Kikeke alivyo wahi sema; "Lugha ya Kiswahili ina zidi kuchanja mbuga".
Kwa kijerumani ningeweza sema; "Dumm gelaufen" Imekula kwao!


Kwa hili sinabudi kuwashukuru watangazaji wote wa BBC na wadhamini wao wote.
Thank you BBC for helping us to expand our language!
 
Corona IPO lkn haiuwi. Hata jirani zetu IPO lkn haiuwi. Sasa hapa kwetu taarifa rasmi zilizuiwa kutangazwa.

Kutotangazwa na kutokuwapo ni vitu viwili tofauti.

Niseme tu ndjia ya JPM ya kuwatoazwatu hofu ni njia bora kuliko ile inayopelekea watu kuwa na hofu.

Muhimu chain ya tangawizi na limau ni muhimu.
Ipo lakini haiuwi ndio maana yake? Mbona Kenya huko tunasikia karibu watu 200 washakufa kwa corona.
 
Back
Top Bottom